• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

TIMU YA MENEJIMENTI YA MANISPAA YA IRINGA YAWATAKA WASIMAMIZI WA MIRADI KUONGEZA KASI

Posted on: November 10th, 2020

Timu ya menejimenti ya Halshauri ya Maniapaa ya iringa leo 10/11/2020 imeendelea na ziara yake iliyoanza tarehe 5/11/2020 Ambapo wajumbe wametembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na Manispaa ya Iringa.

Akiongoza ziara hiyo kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa omary Mkangama amesema miradi inayotekelezwa ni miradi ya Afya,maji,Elimu,miundombinu, nk ambapo miradi hiyo inatekelezwa katika Kata kumi na nane zilizoko Manispaa ya Iringa.

Mkangama amesema menejimenti ina wajibu wa kuangqlia na kusimamia kwa karibu baadhi ya miradi yenye changamoto  kubwa ambayo insuasua na kuzitatua changamoto hizo kwa haraka ili kukamilisha miradi hiyo kwa wakati na kuwa na viwango vinavyotakiwa.

Aidha miradi iliyotembelewa leo ni pamoja na mradi wa shule ya sekondari Ipogolo ujenzi wa madarasa matatu na maabara moja,mradi wa ujenzi wa madarasa sita na choo shule ya sekondari ya Igumbilo.pamoja na mradi wa ujenzi wa madarasa mawili na ofisi moja.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MANISPAA YA IRINGA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI : MANISPAA YA IRINGA 23.09.2020 September 23, 2020
  • IMC: ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020 PAMOJA NA MAENEO YAO YA KUFANYIA SEMINA. October 24, 2020
  • HERI YA MTIHANI MWEMA KWA KIDATO CHA NNE 2020. November 23, 2020
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MBUNGE WA JIMBO LA IRINGA MJINI AANZA KAZI KWA KISHINDO KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU MANISPAA

    January 09, 2021
  • MH. PINDA AWATAKA WABUNGE NA MADIWANI KUTEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KULINGANA NA ILANI YA CCM

    January 13, 2021
  • VIJUE VIPAUMBELE KONKI VYA MEYA MANISPAA YA IRINGA 2021

    January 13, 2021
  • MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    January 12, 2021
  • Soma zote

Video

DC KASESELA AIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KATIKA JITIHADA ZA UJENZI WA MADARASA SEKONDARI
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Fomu za Maombi mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: mkurugenzi@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa