Posted on: February 8th, 2023
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada amesema ili kukamilisha ujenzi wa Machinjio ya Ngelewala iliyopo Manispaa ya Iringa inahitajika fedha kiasi cha shilingi bilioni 1...
Posted on: February 3rd, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Halima Dendego leo Marchi 3 2023 amemuapisha Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt.Linda Paniel Selekwa.
Hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Masiti uliopo Kata ya Gangil...
Posted on: January 10th, 2023
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Halima Dendego amewataka Meneja wa TANROADS na TARURA kuongeza usimamizi kwa wakandarasi wanaopewa kazi za matengenezo au ukarabati wa barabara.
Amesema wakati mwingine ...