• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Elimu Msingi


AFISA ELIMU MSINGI

 

 

TAALUMA

 
ELIMU MAALUM
 
ELIMU WATU WAZIAMA
 
UTAMADUNI NA MICHEZO
 
ELIMU TAKWIMU NA VIFAA (SLO)

 

 

  • TAALUMA
  • Kusimamia ufundishaji na ufungaji shuleni.
  • Kufanya usajili wa wanafunzi wanaofanya mtihani wa kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) na upimaji wa kitaifa wa Darasa la nne (SFNA).
  • Kwa kushirikiana na Afisa Elimu Watu Wazima kusimamia vituo na madarasa ya elimu nje ya mfumo rasmi na elimu masafa.
  • Kufanya tathimini ya matokeo ya mitihani yote ya kujipima Wilaya, Mkoa na mitihani ya kitaifa.
  • Kupitia taarifa za ukaguzi wa shule zinazofanywa na Idara ya Uthibiti Ubora wa Shule na kuyafanyia kazi mapendekezo waliyoishauri Idara ya Elimu Msingi.
  • ELIMU MAALUM
  • Kutoa ushauri wa kitaaluma kuhusu huduma ya watu wenye ulemavu.
  • Kufuatilia na utoaji wa Elimu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.
  • Kusimamia ukusanyaji na utunzaji wa Takwimu za wanafunzi wenye ulemavu.
  • Kufuatilia uandikishaji wa watoto wenye mahitaji maalum.
  • Kufuatilia upatikanaji wa vifaa saidizi vya wanafunzi na vifaa vya kufundishia na kujifunzia vya wanafunzi wenye mahitaji maalum.
  • ELIMU WATU WAZIMA
  • Kumshauri Afisa Elimu Msingi kuhusu masuala ya Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya mfumo rasmi EWW/ENMRA.
  • Kusimamia utekelezaji wa sera ya Elimu watu wazima Elimu nje ya mfumo rasmi EWW/ENMRA.
  • Kubaini mipango ya kuendeleza taaluma ya Elimu Watu Wazima na Elimu nje ya mfumo rasmi.
  • Kuratibu mashindano ya kitaaluma ya Elimu watu wazima Elimu nje ya mfumo rasmi EWW/ENMRA katika Halmashauri.
  • Kukusanya, kuchanganua na kutayarisha taarifa za utekelezaji wa Elimu watu wazima Elimu nje ya mfumo rasmi EWW/ENMRA wa kutoa taarifa.
  • UTAMADUNI NA MICHEZO
  • Kuandaa na kuratibu shughuli za michezo ya wanafunzi wa shule za msingi (UMITASHUMTA) shule za Sekondari (UMISSETA) na watumishi walio chini ya mamlaka ya Serikali za Mitaa (SHIMISEMITA).
  • Kuratibu shuhguli za Mwenge wa Uhuru.
  • Kukagua kumbi zinazojishughulisha na upigaji disko pamoja na sherehe mbalimbali (burudani mbalimbali).
  • Kuandaa mabonanza ya michezo kwa wanafunzi na watumishi wa Taasisi mbalimbali za Umma na za watu binafs.
  • Kutoa vibali vya matangazo mbalimbali ya biashara na yasiyo ya kibiashara, mikutano, burudani za aina zote.
  • Kutoa mafunzo ya sanaa za maonesho, ufundi na lugha pamoja na kuandaa matamasha ya utamaduni.
  • Kutoa ushauri kwa Mkuu wa Idara juu ya mashuala ya utamaduni na michazo.
  • ELIMU TAKWIMU NA VIFAA (SLO)
  • Upanuzi na uimarishaji wa Elimu Msingi.
  • Kusimamia na kufuatilia ujenzi wa shule.
  • Ukusanyaji, uhifadhi na utoaji wa takwimu za Elimu Msingi (kuzipokea, kuzichanganua, kuzifafanua na kuziwasilisha zinakotakiwa bila kuchelewa).
  • Mahitaji ya walimu – kufanya makisio ya idadi kwa daraja kufuatana na upungufu na upanuzi.
  • Vifaa vya shule – uagizaji na usambazaji kufuatana na mahitaji ya shule na fungu la fedha.
  • Mtihani – usimamizi, usafirishaji na usalama wake
  • Kusimamia fedha katika Idara matumizi yalingane na mahitaji.
  • Kufanya kazi zingine mtakazopewa na Afisa Elimu Wilaya.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 - MANISPAA YA IRINGA December 11, 2022
  • TANGAZO MUHIMU.. January 02, 2023
  • TANGAZO MUHIMU... January 09, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MNEC ASAS KUTOA MIL.100 KWA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

    March 14, 2023
  • BILION 1.9 KUKAMILISHA MACHINJIO NGELEWALA-MEYA NGWADA

    February 08, 2023
  • DKT. LINDA AAPISHWA DC MUFINDI

    February 03, 2023
  • RC DENDEGO AWAAGIZA MENEJA WA TANROADS NA TARURA KUONGEZA USMAMIZI NA UFATILIAJI KWA WAKANDARASI

    January 10, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa