• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

HOSPITALI YA FLERIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA TIBA VYENYE THANANI YA SHILINGI MIL 5.2

Posted on: April 11th, 2018


“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.

Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.

Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.
HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.
Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.







Manispaa Iringa 1 added 9 new photos.

22 hrs  · 









HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.

“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.

Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.

Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.
HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.
Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.









Manispaa Iringa 1 added 9 new photos.

22 hrs  · 









HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.

“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.

Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.

Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.
HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.
Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.







Manispaa Iringa 1 added 9 new photos.

22 hrs  · 









HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.

“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.

Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.

Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.

Akikabidhi vifaa hivyo, ndugu Saidi Lubeya amesema maamuzi ya kutoa msaada huo yalikuja baada ya Chama Cha Mapinduzi kufanya ziara hospitalini hapo na kupewa taarifa kutoka kwa mganga mfawidhi wa hospitali hiyo kuwa moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa mashine ya kufua nguo ambazo zilikuwa zikitolewa hospitali ya frelimo na kwenda kufuliwa katika Hospitali ya mkoa.

Changamoto ya ukosefu wa mashine ya kufua nguo hospitalini hapo ndio imefanya Chama Cha Mapinduzi kuanza utekelezaji wa kutatua changamoto hii na kuahidi kutatua changamoto moja baada ya nyingine lengo likiwa ni kutoa huduma bora kwa wananchi wa Manispaa ya Iringa na Wilaya za jirani.

Akitoa shukrani kwa niamba ya wananchi wa Manispaa ya Iringa, Mheshimiwa Frank Nyalusi aliyemuwakilisha Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Alex Kimbe amesema, hatua iliyofanywa na Chama cha Mapinduzi ni hatua ya kuungwa mkono kwani inaleta maendeleo kwa wananchi wote wa Manispaa ya Iringa, hivyo siasa hizi ndizo ziasa za maendeleo kwa ustawi wa nchi.
HOSPITALI YA FRELIMO MANISPAA YA IRINGA YAKABIDHIWA VIFAA VYENYE THAMANI YA SHILINGI MIL.5.2.“ Maendeleo ya Wananchi hayana itikadi ya chama , wananchi wanahitaji maendeleo na huduma bora za kijamii” Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndugu Saidi Rubeya alipokuwa akikabidhi mashine mbili za kufulia na luninga moja kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Omary Mkangama kwaajili ya matumizi ya hospitali ya Frelimo inayomilikiwa na Manispaa ya Iringa.Vifaa vilivyo kabidhiwa vina thamani ya shilingi milioni tano na laki mbili (5,200,000/=)ambapo imeelezwa kuwa vitatumika kwaajili ya matumizi ya hospitali hiyo, hasa kufua nguo za hospitali na luninga kwaajili ya kufuatilia mafunzo kwa watumishi wa Hospitali ya Frelimo.
Naye Mganga mfawidhi wa hospitali ya Frelimo Dk. Zambi Pilila amesema watatuzitumia kwa umakini mkubwa mashine hizo za kufulia kwani zimeokoa gharama ya kusafirisha nguo kwenda kufuliwa hospitali ya Mkoa na itasaidia kufanya kazi katika mazingira salama zaidi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa