Posted on: May 27th, 2019
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mheshiwa Ally Hapi ameipongeza Halmashauri ya manispaa ya Iringa kwa kupata hati safi ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali zinazoishia tarehe 30/06/2018 kwa mara ya tatu ...
Posted on: May 21st, 2019
"Maombi yenu yote nimeyachukua na naahidi kuyafanyia kazi ndani ya miezi miezi miwili, likiwemo suala la malimbikizo ya fedha za likizo na on call allowance."
Kauli hiyo imetolewa na mkurugenzi wa ...
Posted on: May 20th, 2019
Ziara ya kamati ya Fedha na Uongozi inayoongozwa na Meya wa Manispaa ya Iringa Mheshimiwa Allex Kimbe imefanya ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa chini ya kamati hiyo
...