Posted on: October 30th, 2018
Katibu tawala wa wilaya ya Iringa Mh Hashimu Komba amekabidhi zawadi ya fedha taslimu Tsh 500,000/= kwa shule ambazo zimeibuka kidedea katika shindano la usomaji masomo ya sayansi.
...
Posted on: October 23rd, 2018
Timu ya Menejimenti (CMT) Manispaa ikiongozwa na Mkurugenzi, Ndugu Hamid Njovu imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2018-2019
Aidha ...
Posted on: October 23rd, 2018
Mkuu wa mkoa wa Iringa Mheshimiwa Ally Hapi amekabidhi kompyuta (20) kwa shule za sekondari mkoani Iringa zilizotolewa na mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) chini ya msaada wa Mbunge wa vi...