• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Miradi iliyoidhinishwa

Kiambatisho Na. 2: 

MUHTASARI WA MPANGO NA BAJETI YA MAENDELEO KWA MWAKA 2017/18

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa katika mwaka wa fedha 2017/18 imeidhinishiwa kiasi cha TZS 13,013,112,177 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali. Muhtasari wa fedha zilizoidhinishwa ni kama ifuatavyo;

NA

JINA LA MRADI/PROGRAM

CHANZO CHA FEDHA

KIASI

1.

Mpango wa uendelezaji wa miji (ULGSP)

UPG

4,975,531,777

2.

Mradi wa kusaidia Mamlaka za Serikali za Mitaa (LGSP)

LGDG

1,041,933,990

3.

Miradi ya kuchochea Maendeleo ya Jimbo

CDCF

36,372,000

4.

Miradi ya usaidizi kupitia mapato ya ndani

MAPATO YA NDANI

2,508,496,210

5.

Mradi ya Usambazaji maji vijijini (RWSSP)

BENKI YA DUNIA

1,876,606,000

6.

Mpango wa kusaidia sekta ya Barabara (RSSP)

MFUKO WA BARABARA

1,322,397,400

7.

Mradi wa kusaidia ulinzi na usalama wa mtoto

UNICEF

258,821,400

8.

Mradi wa kunusuru kaya maskini (PSSN)

TASAF

871,344,000

9.

Mpango wa maendeleo kwa sekta ya Kilimo (ASDP)

SERIKALI KUU

53,969,400

10.

Mradi wa usafi za mazingira (WASH)

BENKI YA DUNIA

44,000,000

11.

Mradi wa kudhibiti magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu

GLOBAL FUND

23,640,000


JUMLA KUU


13,013,112,177

 


MIRADI YA MAENDELEO ILIYOIDHINISHWA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2017/2018

 

1. IDARA YA UTAWALA

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kusaidia ununuzi wa Jenereta la Halmashauri

IMC

MAPATO YA NDANI

50,000,000

2.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Mshindo

MSHINDO


5,000,000

3.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Kitanzini

KITANZINI


5,000,000

4.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Mkwawa

MKWAWA


5,000,000


JUMLA MAPATO YA NDANI



65,000,000






1.

Ununuzi wa Pikipiki 5 kwa ajili ya Watendaji wa kata

IMC

BENKI YA DUNIA

42,500,056

2.

Kusaidia kuiwisha Mkataba wa Huduma kwa Mteja

IMC


19,960,301

3.

Kusaidia  vitendea kazi kwa ajili ya ofisi za Kata 19 na Mitaa 192

IMC


10,550,000

4.

Kusaidia vitendea kazi kwa ajili ya Idara ya Maendeleo ya Jamii

IMC


8,000,000

5.

Kusaidia vitendea kazi kwa ajili ya Idara ya Utumishi

IMC


16,000,000

6.

Ununuzi wa mashine 20 za kukusanyia mapato (POS)

IMC


18,000,000

7.

Kusaidia ufungaji na utoaji ushauri kwa mfumo wa kukusanyia taarifa (GIS)

IMC


73,743,483

8.

Kutoa mafunzo kwa Wachumi 5 juu ya uandaaji wa maandiko na menejimenti ya miradi

IMC


15,035,000

9.

Kufanya mikutano ya uhamasishaji juu ya usimamizi wa taka ngumu na maji machafu kwa wajumbe 80 wa WDC katika kata 5

IMC


13,127,649

10.

Kufanya mikutano ya uhamasishaji juu ya usimamizi wa mazingira kwa wajumbe 36 wa WEMC katika kata 6

IMC


11,960,000


JUMLA BENKI YA DUNIA

 

 

228,876,489



 

 


1.

Kutoa mafunzo kazini kwa waajiriwa wapya juu ya Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma

IMC

CBG

4,500,000

2.

Kutoa mafunzo kwa Watakwimu 3 na Wachumi 2 juu ya usimamizi wa Kanzidata

IMC

 

4,750,000

3.

Kusaidia Maafisa Utumishi kufanya Mtihani wa Kitaalumu

IMC

 

3,760,000

4.

Kutoa mafunzo kwa Maafisa Utumishi 4 juu ya masuala ya Itifaki

IMC

 

8,726,600

5.

Kutoa mafunzo juu ya utunzaji wa kumbukumbu na uandishi wa dondoo za vikao kwa Watendaji wa Kata 18 na Watendaji wa Mitaa 192

IMC

 

8,210,000

6.

Kutoa mafunzo ya siku 3 kwa Whe. Madiwani juu ya usimamizi wa miradi

IMC

 

5,790,000

7.

Kutoa mafunzo ya siku 4 kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii juu ya Menejimenti na Upangaji wa Miradi

IMC

 

12,127,360

8.

Kutoa mafunzo kwa WEO 18, MEO 192 na Whe. Madiwani 24 juu ya O&OD iliyoboreshwa

IMC

 

32,148,060

9.

Kusaidia WEO 18 na MEO 192 kuainisha Jitihada za Jamii

IMC

 

12,162,040

10.

Kusaidia ununuzi wa samani za ofisi kwa ajili ya kata 10

IMC

 

12,019,340


JUMLA CBG

 

 

104,193,400



 

 


1.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Isakalilo

ISAKALILO

CDG

25,301,889

2.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Mshindo

MSHINDO

 

5,210,186

3.

Kusaidia ujenzi wa ofisi ya kata Kitanzini

KITANZINI

 

9,960,488


JUMLA CDG


 

40,472,563


JUMLA UTAWALA

 

 

438,542,462

 

 

2. MIPANGO, TAKWIMU NA UFUATILIAJI

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kusaidia uchangiaji wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa

IMC

MAPATO YA NDANI

34,838,800

2.

Kusaidia ulipaji wa madeni kwa LGLB

IMC


239,541,350

3.

Kutoa ruzuku itokanayo na mapato ya ndani kwa ngazi ya chini ya Serikali za Mitaa

IMC


150,000,000

4.

Kusaidia uchangiaji wa shughuli za maendeleo

IMC


286,094,360

5.

Kusaidia utekelezaji wa miradi ya kimkakati katika Manispaa

IMC


50,000,000


JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

760,474,510






1.

Kusaidia miradi ya kuchochea Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo

IMC

MFUKO WA JIMBO

36,372,000


JUMLA MFUKO WA JIMBO

 

 

36,372,000




 


1.

Kusaidia ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo katika kata 18

IMC

MEG

32,186,700

2.

Kusaidia uandaaji wa taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo

IMC

 

10,410,000

3.

Kusaidia zoezi la upimaji wa mwaka kwa mfumo wa LGDG

IMC

 

9,500,000

4.

Kusaidia zoezi la uainishaji wa Jitihada za Jamii kwa njia ya O&OD

IMC

 

22,506,700

5.

Kusaidia wawezeshaji ngazi ya kata katika uwezeshaji wa jamii

IMC

 

18,900,000

6.

Kuwezesha mikutano, utembeleaji wa miradi na utoaji wa ushauri katika kata 18

IMC

 

10,690,000


JUMLA MEG


 

104,193,400




 


1.

Kufanya ufuatiliaji wa shughuli zinazotekelezwa kwa usaidizi wa UNICEF

IMC

UNICEF

13,660,000

2.

Kufanya mkutano wa tathmini wa mwaka kwa watumishi 10 kutoka idara zinazotekeleza shughuli zinazopata usaidizi wa UNICEF

IMC

 

1,340,000


JUMLA UNICEF


 

15,000,000


JUMLA MIPANGO, TAKWIMU NA UFUATILIAJI


 

916,039,910

 

3. ELIMU MSINGI

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kusaidia ukamilishaji wa Nyumba 3  za Walimu katika shule za msingi Igumbilo, Ukombozi na Mlangali

IGUMBILO

MSHINDO

MLANDEGE

MAPATO YA NDANI

49,925,000

2.

Kusaidia ujenzi wa madarasa 4 katika shule za msingi Mkoga, Mawelewele, Kigonzile na Azimio

KWAKILOSA

NDULI

MKIMBIZI


80,000,000

3.

Kusaidia ujenzi wa madarasa 3 katika shule za msingi Kigonzile, Mawelewele na Mkoga

KWAKILOSA

NDULI

ISAKALILO


15,000,000

4.

Kusaidia ujenzi wa madarasa 2 katika shule za msingi Igumbilo na Ndiuka

IGUMBILO


20,000,000

5.

Ununuzi wa madawati 500

IMC


30,000,000

6.

Kusaidia ukarabati wa viwanja wa mpira katika shule za msingi Njia panda, Kitwiru, Mtwivila, Hoho na Nyumbatatu

MTWIVILA


2,020,000

7.

Kusaidia ukamilishaji wa matundu ya vyoo katika shule ya msingi Nyumbatatu

ILALA


5,000,000

 

JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

201,945,000






1.

Kusaidia ukarabati wa vyoo katika shule za msingi Mlandege, Mlangali na Muungano

MLANDEGE

KWAKILOSA

BENKI YA DUNIA

24,000,000


JUMLA BENKI YA DUNIA

 

 

24,000,000






1.

Kusaidia ukamilishaji wa madarasa 4 katika shule ya msingi Mnazi mmoja

KITWIRU

CDG

11,561,282

2.

Kusaidia ujenzi wa darasa 1 katika shule ya msingi Ndiuka

IGUMBILO

 

11,502,615

3.

Kusaidia ujenzi wa darasa 1 katika shule ya msingi Mawelewele

KWAKILOSA

 

10,000,000

4.

Kusaidia ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Mlangali

KWAKILOSA

 

20,780,721

5.

Kusaidia ukamilishaji wa nyumba ya mwalimu katika shule ya msingi Igumbilo

IGUMBILO

 

7,000,000

 

JUMLA CDG

 

 

60,844,618




 


1.

Kuwezesha uhamasishaji kwa walimu 50, walimu wakuu 5 na waratibu wa kata 16 juu ya kuhimiza elimu kwa walemavu

IMC

UNICEF

24,960,000


JUMLA UNICEF

 

 

24,960,000


JUMLA ELIMU MSINGI

 

 

311,749,618

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

4. ELIMU SEKONDARI

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kusaidia ukarabati wa mfumo wa utoaji maji katika shule ya sekondari Lugalo

GANGILONGA

MAPATO YA NDANI

30,000,000

2.

Kununua viti na meza 375 kwa ajili ya shule za sekondari

IMC


30,000,000

3.

Ununuzi wa vitanda vya vyuma 80 kwa ajili shule ya sekondari Tagamenda

RUAHA


20,000,000

4.

Kusaidia ujenzi wa madarasa 3 katika shule ya sekondari Mivinjeni

MIVINJENI


10,000,000

5.

Kusaidia ujenzi wa uwanja wa mpira katika shule ya sekondari Mivinjeni

MIVINJENI


3,000,000

6.

Kuwezesha ulipaji wa fidia ya ardhi katika shule za sekondari Mawelewele na Mivinjeni

KWAKILOSA

MIVINJENI


30,000,000

7.

Kusaidia ukamilishaji wa vyumba vya maabara 20 katika shule za sekondari 19

IMC


60,000,000

 

JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

183,000,000






1.

Kusaidia ukamilishaji wa Bafu na Vyoo katika shule ya sekondari Mawelewele

KWAKILOSA

CDG

12,137,724

2.

Kusaidia ukamilishaji wa vyumba 2 vya maabara katika shule shule ya sekondari Mtwivila

MTWIVILA


30,355,118

3.

Kusaidia ukamilishaji wa madarasa 2 katika shule ya sekondari Kihesa

KIHESA


29,160,807

4.

Kusaidia ukamilishaji wa darasa 1 katika shule ya sekondari Nduli

NDULI


18,246,667

5.

Kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Kihesa

KIHESA


20,000,000

6.

Kusaidia ukamilishaji wa madarasa 2 katika shule ya sekondari Tagamenda

RUAHA


30,000,000

7.

Kusaidia chumba 1 cha maabara katikashule ya sekondari Mtwivili

MTWIVILI


28,468,767

8.

Kusaidia chumba 1 cha maabara katikashule ya sekondari Nduli

NDULI


30,000,000

9.

Kusaidia ukamilishaji wa jengo la utawala katika shule ya sekondari kleruu

GANGILONGA


21,698,506

10.

Kusaidia ukamilishaji wa vyumba 3 vya maabara katika shule ya sekondari Kwakilosa

ISAKALILO


21,887,189

11.

Kusaidia ukamilishaji wa madarasa 2 ya kidato cha tano katika shule ya sekondari Mawelewele

KWAKILOSA


30,000,000

12.

Ununuzi wa viti na meza 125 kwa ajili ya shule za sekondari

IMC


20,000,000

13.

Kusaidia ukamilishaji wa vyumba 2 vya maabara katika shule ya sekondari Ipogoro

RUAHA


20,000,000

14.

Kusaidia ukamilishaji wa chumba 1 cha maabara katika shule ya sekondari Mlandege

MLANDEGE


20,000,000

15.

Kusaidia ukamilishaji wa chumba 1 cha maabara katika shule ya sekondari  Mlamke

ILALA/MAKORONGONI


12,248,895

16.

Kusaidia ukamilishaji wa chumba 1 cha maabara katika shule ya sekondari  Mlamke

ILALA/MAKORONGONI


21,452,089

17.

Kusaidia ukamilishaji wa darasa 1 katika shule ya sekondari Mivijeni

MIVIJENI


13,163,156

18.

Kusaidia ukamilishaji wa vyumba 2 vya maabara katika shule ya sekondari Mkwawa

MKWAWA


26,637,491

 

JUMLA CDG

 

 

405,456,409

 

JUMLA ELIMU SEKONDARI

 

 

588,456,409

 

 

5. AFYA

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Ujenzi wa jengo la upimaji na uchunguzi katika hospitali ya FRELIMO

KWAKILOSA

MAPATO YA NDANI

400,000,000

2.

Kusaidia ujenzi wa wodi 1 katika zahanati ya Itamba

MKWAWA


50,000,000

 

JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

450,000,000






1.

Kusaidia usimamizi katika shughuli za kudhibiti magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu

IMC

GLOBAL FUND

23,640,000

 

JUMLA GLOBAL FUND

 

 

23,640,000

 

 

 

 

 

1.

Ujenzi wa varanda kutoka OPD hadi jengo la Wajawazito katika Hospitali ya FRELIMO

KWAKILOSA

CDG

60,000,000

2.

Ujenzi wa jengo la upimaji na uchunguzi katika Hospitali ya FRELIMO

KWAKILOSA

 

100,000,000

3.

Ujenzi wa wodi 1 katika zahanati ya Itamba

MKWAWA

 

80,000,000


JUMLA CDG

 

 

240,000,000



 

 


1.

Mradi wa ulinzi na usalama wa mtoto katika Manispaa ya Iringa

IMC

UNICEF

218,861,400


JUMLA UNICEF

 

 

218,861,400


JUMLA AFYA

 

 

932,501,400

 

6. MAJI

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kuendesha zoezi la ukusanyaji na uchambuzi wa takwimu za usafi wa mazingira kwenye mitaa 49 katika kata 4 za Kihesa, mtwivila, Mkimbizi na Kitwiru

KIHESA

MTWIVILA

MKIMBIZI

KITWIRU

BENKI YA DUNIA

6,272,000

2.

Kufanya zoezi la uchefuaji kwenye mitaa 49 katika kata 4

IMC


6,914,000

3.

Kufanya mashindano ya usafi wa mazingira katika mitaa yote na kata zote za Manispaa ya Iringa

IMC


320,000

4.

Kuendesha zoezi la utoaji zawadi kwa washindi wa usafi wa mazingira

IMC


1,870,000

5.

Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli za kampeni ya kitaifa ya usafi wa mazingira kwenye mitaa 49 na kata 4

IMC


4,624,000


JUMLA BENKI YA DUNIA


 

20,000,000






1.

Ujenzi wa miradi ya maji katika mitaa ya Kigungawe, Ugele na Mosi

MKIMBIZI

IGUMBILO

KITWIRU

NWSSP

1,679,617,200

2.

Kuwezesha mtaalamu mshauri kwa miradi ya maji katika mitaa ya Kigungawe, Ugele na Mosi

MKIMBIZI

IGUMBILO

KITWIRU

 

171,689,000

3.

Kusaidia shughuli za usimamizi  na ufuatiliaji wa Mpango wa Usambazaji Maji

IMC

 

21,399,800

4.

Kutoa mafunzo kwa Kamati ya Maji na Usafi ya Halmashauri, Watumishi wa idara ya Maji na Jumuia watumia maji

IMC

 

3,900,000


JUMLA NWSSP


 

1,876,606,000


JUMLA MAJI


 

1,896,606,000

 


7. UJENZI NA BARABARA

NA

                                        SHUGHULI/MRADI                                        

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Matengenezo ya barabara za dharura km 10 katika Manispaa

IMC

MAPATO YA NDANI

50,000,000

2.

Matengenezo ya barabara km 75 katika kata 18 za Manispaa

IMC


49,994,000

3.

Kusaidia uendeshaji na matengenezo la grada 1

IMC


45,000,000


JUMLA MAPATO YA NDANI



144,994,000






1.

Ujenzi wa soko la kisasa la Mlandege

MLANDEGE

BENKI YA DUNIA

3,650,000,000

2.

Kuwezesha upatikanaji wa mtaalamu mshauri kwa ajili ya ujenzi wa soko la Mlandege

MLANDEGE


354,088,185

3.

Ujenzi wa barabara km 1 kutoka Mawelewele mpaka Asphait standard

KWAKILOSA


742,565,103


JUMLA BENKI YA DUNIA



4,746,653,288






1.

Ukarabati wa barabara ya lami Mtwivila – Darajani km 1.0

MTWIVILA

MFUKO WA BARABARA

350,000,000

2.

Matengenezo ya muda maalumu barabara ya St Charles km 1.0

KWAKILOSA


30,000,000

3.

Matengenezo ya muda maalumu barabara ya Mawelewele km 2.5

MAWELEWELE


75,000,000

4.

Matengenezo ya muda maalumu barabara ya Mkimbizi - Bima km 1.95

MKIMBIZI


58,500,000

5.

Matengenezo ya muda maalumu barabara ya SIP kata ya Kitwiru km 1.7

KITWIRU


51,000,000

6.

Matengenezo ya maeneo korofi za barabara km 30.59

IMC


152,500,000

7.

Matengenezo ya kawaida za barabara km 127.44

IMC


383,820,000

8.

Ujenzi wa daraja 1 kata ya Kitwiru na matengenezo ya daraja kata ya Isakalilo

KITWIRU

ISAKALILO


85,000,000

9.

Ujenzi wa kalvati 30 katika Manispaa

IMC


60,000,000

10.

Kusaidia shughuli za usimamizi na ufuatiliaji wa miradi ya barabara

IMC


76,577,400


JUMLA MFUKO WA BARABARA

 

 

1,322,397,400


JUMLA UJENZI NA BARABARA

 

 

6,214,044,688

 

8. KILIMO NA MIFUGO

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kuchangia uanzishaji wa Benki ya Wananchi ya Manispaa ya Iringa

IMC

MAPATO YA NDANI

15,000,000

2.

Ujenzi wa mfereji mkuu mita 50 kutoka Kisaula – Mtwivila katika mradi wa umwagiliaji wa Mkoga

ISAKALILO


15,000,000

3.

Ujenzi wa mfereji mkuu mita 50 katika mradi wa umwagiliaji Kitwiru

KITWIRU


15,000,000

4.

Ununuzi wa ardhi Hekta 40 kwa ajili ya ujenzi wa machinjio ya Ngerewala

ISAKALILO


50,000,000


JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

95,000,000






1.

Ujenzi wa mfereji mkuu mita 89 katika mradi wa umwagiliaji Mkoga

ISAKALILO

CDG

26,773,600

 

JUMLA CDG

 

 

26,773,600






1.

Ujenzi wa jengo la hifadhi ya chakula katika machinjio ya Ngerewala

ISAKALILO

ASDP

44,305,400

2.

Kuboresha banda la kuhifadhia ngozi

ISAKALILO


4,500,000

3.

Kuwezesha zoezi la ufuatiliaji na tathmini kwa mpango wa kuboresha ngozi

IMC


1,796,000

4.

Kuhimiza matumizi ya uchinjaji wa kisasa na uhifadhi wa ngozi katika kata 6

IMC


1,808,000

5.

Kusaidia utekelezaji wa shughuli mbalimbali za sekta ya mifugo

IMC


1,560,000

 

JUMLA ASDP

 

 

53,969,400

 

JUMLA KILIMO NA MIFUGO

 

 

175,743,000

 

 

 

 

 

 

 

 

 

9. ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Ununuzi wa ardhi Heka 100

IMC

MAPATO YA NDANI

100,000,000

2.

Upimaji wa viwanja 300

IMC


50,000,000


JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

150,000,000






1.

Ununuzi wa vizimba vya taka

IMC


60,000,000


JUMLA CDG

 

 

60,000,000


JUMLA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA

 

 

210,000,000

 

 

 

10. MAENDELEO YA JAMII

NA

SHUGHULI/MRADI

MAHALI

CHANZO CHA FEDHA

KIASI (TZS)

1.

Kutoa mafunzo ya kujikinga na UKIMWI, Unyanyapaa na ukatili wa kijinsia kwa MEOs 192 juu

IMC

MAPATO YA NDANI

4,570,000

2.

Kutoa mafunzo ya kujikinga na UKIMWI, Unyanyapaa na ukatili wa kijinsia kwa Madiwani 29, Wabunge na DC  

IMC


4,580,000

3.

Kutoa mafunzo ya kujikinga na UKIMWI, Unyanyapaa na ukatili wa kijinsia kwa WEOs na CDOs 48

IMC


1,950,000

4.

Kutoa mafunzo ya kujikinga na UKIMWI, Unyanyapaa na ukatili wa kijinsia kwa watu 60 wenye ulemavu

IMC


2,300,000

5.

Kutoa mafunzo ya kujikinga na UKIMWI kwa Wanafunzi 50 wa Elimu ya Juu

IMC


1,920,000

6.

Kutoa elimu ya UKIMWI kwa viongozi wa madhehebu kuelimisha waumini wao jinsi ya kujikinga na UKIMWI

IMC


1,300,000

7.

Kuwezesha kikundi 1 cha utamaduni kuhamasisha elimu juu ya UKIMWI katika kata 18

IMC


1,380,000

8.

Kutoa usaidizi wa kifedha kwa vikundi 10 vya watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI

IMC


10,000,000

9.

Kuwezesha ulipaji wa ada kwa wanafunzi wanaoishi katika mazingira hatarishi katika shule za sekondari 30

IMC


2,100,000

10.

Kuwezesha utoaji wa vyakula katika vituo vya kulelea watoto yatima

IMC


3,900,000

11.

Kuelimisha kamati za UKIMWI katika juu wajibu wao

IMC


4,000,000

12.

Kuwezesha upatikanaji wa mikopo kwa vikundi vya ujasiriamali

IMC


418,082,700

13.

Kusaidia ufuatiliaji wa mikopo iliyotolewa kwa vikundi vya Vijana na Wakina mama

IMC


2,000,000

 

JUMLA MAPATO YA NDANI

 

 

458,082,700






1.

Mpango wa kusaidia kaya maskini kwenye mitaa 192

IMC

TASAF

871,344,000


JUMLA TASAF

 

 

871,344,000


JUMLA MAENDELO YA JAMII

 

 

1,329,426,700


JUMLA YA BAJETI YA MAENDELEO

 

 

13,013,112,177

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MANISPAA YA IRINGA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI : MANISPAA YA IRINGA 23.09.2020 September 23, 2020
  • IMC: ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020 PAMOJA NA MAENEO YAO YA KUFANYIA SEMINA. October 24, 2020
  • HERI YA MTIHANI MWEMA KWA KIDATO CHA NNE 2020. November 23, 2020
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MBUNGE WA JIMBO LA IRINGA MJINI AANZA KAZI KWA KISHINDO KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU MANISPAA

    January 09, 2021
  • MH. PINDA AWATAKA WABUNGE NA MADIWANI KUTEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KULINGANA NA ILANI YA CCM

    January 13, 2021
  • VIJUE VIPAUMBELE KONKI VYA MEYA MANISPAA YA IRINGA 2021

    January 13, 2021
  • MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    January 12, 2021
  • Soma zote

Video

DC KASESELA AIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KATIKA JITIHADA ZA UJENZI WA MADARASA SEKONDARI
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Fomu za Maombi mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: mkurugenzi@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa