• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

Posted on: April 4th, 2025

Kamati ya Fedha na Uongozi pamoja na Wataalamu mbalimbali wa Halmashauri ya Manispaaya Iringa wamepatiwa mafunzo kuhusiana na elimu ya uwekezaji wa miradi baina ya sekta za umma na sekta binafsi kwa lengo la kuimarisha ushirikiano baina yao nakutengeneza mazingira bora ya uwekezaji katika Halmashauri, hali itakayopelekea ongezeko la mapato na ukuaji wa uchumi.

Mafunzo hayo yametolewa Aprili, 03 2025 na Wawezeshaji kutoka Kituo cha Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre) Dkt, Moshi Derefa na Ziada Saburi katika Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa ya Iringa.

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amewashukuru wawezeshaji hao kwa elimu waliyoitoa kwani itaboresha mazingira ya uwekezaji katika miradi ya Halmashauri na itaongeza mapato ya ndani na serikali kiujumla. Vilevile, ametoa agizo kwa wakuu wa Idara na Vitengo kuainisha miradi waliyonayo ili iweze kuandikiwa taarifa kwaajili utekelezaji.

Baadaya mafunzo hayo, Timu ya wawezeshaji pamoja na Wataalamu wamepata nafasi yakutembelea maeneo mbalimbali ya uwekezaji katika Manispaa ya Iringa kwa lengola kupata maelezo ya mradi, kujua mahali mradi ulipo kwa kusoma majira nukta (coordinates) ili kupata maelezo ya kutosha na hatimaye waone ni namna gani wanavyoweza kuishauri Halmashauri namna bora ya uwekezaji.


Kituo cha Ubia cha PPP Centre kinaratibu na kusimamia masuala ya ubia baina ya sekta za Umma na Binafsi nchini kwa mujibu wa sheria ya ubia baina ya sekta ya umma na sekta binafsi, sura 103 kupitia kifungu cha 4 (1) ambapo kwa sasa kinaendelea na utoaji wa elimu nchini katika mikoa 13, huku Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni mmoja wa wanufaika wa mafunzo hayo.


 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa