• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

Posted on: October 10th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Peter Serukamba amewataka Watendaji wa Kata na Mtaa waliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuhakikisha  wanashirikiana kwa pamoja katika kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili uwe huru na wa haki.

Ameyasema hayo, katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Oktoba 09, 2024 katika kikao kazi na maafisa mbalimbali wa Serikali hasa wanaohusika katika zoezi zima la Uchaguzi wakiwemo Maafisa uchaguzi ngazi ya Halmashauri, Tarafa na Ka, maafisa watendaji Kata na Mitaa waliopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ambao wanashiriki kusimamia zoezi la uandikishaji na upigaji

wa kura kwa wakazi wa Halmashauri hiyo.

" Kuanzia Tarehe 11-20 Oktaba, 2024 tunaanza zoezi la Uandikishaji wa wananchi kwenye orodha ya wapiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.,Sisi tunaosimamia uchaguzi huo, ni jukumu letu  kuhakikisha watu wamejiandikisha, kuhakikisha watu wamefanya kampeni vizuri, kuhakikisha vyama vimepewa nafasi sawa kwenye kushiriki uchaguzi huu pamoja na kuhakikisha kuna Usalama na amani kwa muda wote mpaka kumaliza uchaguzi hapo Tarehe 27/11/2024.". Amesema Serukamba.

Serukamba amesema kuwa ili Uchaguzi uwe huru na wa haki lazima uwe shirikishi ikiwa ni pamoja na wananchi kushirikishwa kwa kuonyeshwa vituo vyao vya kujiandikisha na vya kupigia kura, vilevile  vyama vya

siasa vishirikishwe katika zoezi zima la uchaguzi ili itakapofika mwishoni vyama viridhie matokeo.

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa inatarajia kuwa na idadi ya watu 126,000 ambao watajiandikisha na kupiga kura.,hii ni kwa mujibu wa Sensa ya watu na Makazi ya Mwaka 2022 ambapo idadi hiyo ya watu walivuka umri wa miaka 18.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa