• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Mipango Takwimu na Ufuatiliaji



UTANGULIZI

Idara ya Mipango Takwimu na Ufuatiliaji ni moja kati ya idara 13 zilizopo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa. Idara hii ina jumla ya watumishi 6 kama wanavyoonekana hapa chini;


S/N
    CHEO
1.
Mchumi wa Halmashauri
2.
Mchumi Mwandamizi
3.
Mchumi I
4.
Mtakwimu I
5.
Mtakwimu I
6.
Mchumi II


MAJUKUMU YA IDARA YA MIPANGO TAKWIMU NA UFUATILIAJI

Idara hii ina majukumu mbalimbali lakini majukumu ya msingi ni kama

yanavyooneshwa hapa chini;

  • Kuratibu uandaaji na uibuaji wa  Mipango kwa njia ya fursa na vikwazo (O&OD) kuanzia ngazi ya jamii, mitaa, vijiji, kata na Manispaa
  • Kuratibu uandaaji wa Mpango na bajeti (kufanya upembuzi yakinifu kwa wataalamu wote juu ya miradi iliyotoka ngazi ya kata) pamoja na kuhakikisha mpango unaandaliwa kwa mfumo wa PLANREP na unawasilishwa ngazi husika kwa wakati.
  • Kutafsiri kwa lugha rahisi Mpango na Bajeti pamoja na miradi yote inayotarajiwa kufanyika.
  • Kuandaa taarifa za Utekelezaji wa miradi ya maendeleo kila  robo na kuziwasilisha  Hazina (Progress report, CDR ) na zile zinazoingia katika vikao vya fedha na Uongozi
  • Kuandaa Mpango kazi na mpango wa mapokezi ya fedha wa halmashauri kwa kila mwaka .
  • Kuratibu maandalizi ya taarifa za Laac
  • Kuratibu maandalizi ya taarifa za kamati za ushauri za wilaya (DCC) na Mkoa(RCC)
  • Kuratibu vikao na shughuli zote za  mfuko wa Jimbo
  • Kuandaa maandiko mbalimbali kwa ajili ya kutafuta wawekezaji.
  • Kuratibu maandalizi ya kaguzi mbalimbali(mfano, benki ya Dunia )
  • Kupitisha na kusimamia Matumizi ya fedha za maendeleo za kata
  • Kusimamia maandalizi ya Taarifa za Ilani ya Uchaguzi
  • Kuhuisha taarifa za kiuchumi na kijamii za Halmashauri (Socio – Economic and Investment profile) na pato la wakazi wa Manispaa(GDP)
  • Kuratibu zoezi la Kuhesabu watu kitaifa (sensa ya watu na Makazi) muda wa unapofika

MAFANIKIO YA IDARA

  • Kuwepo kwa mipango inayowezesha Halmashauri kufanya kazi kwa utaratibu unaokubalika kama taasisi ya Serikali mfano kuwepo kwa mpango Mkakati wa Halmashauri wa miaka mitano (2016/2017 – 2020/2012), Mpango na Bajeti ya Halmashauri 2016/2017 na  rasimu ya mpango na bajeti ya  2017/2018, wasifu wa kiuchumi na kijamii, mpango mkakati wa Halmashauri na mpango wa mapokezi ya fedha kwa ajili ya utekelezaji wa Miradi ya maendeleo
  • Kuwepo kwa mfumo wa ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo unafanyika na kutolewa taarifa zake kila robo mwaka na kuziwasilisha ngazi husika kwa wakati taarifa hizo ni (Progress report na CDR)
  • Kuwezesha utaratibu wa sensa ya watu na makazi kulingana na muda unaopangwa ambapo taarifa hutolewa kwa wananchi na wadau mbalimbali kwa ajili ya matumizi mbalimbali

    4.0 MATARAJIO YA IDARA

          Idara hii ina mipango na matarajio makuu kama inavyoonekana hapa chini

Wananchi wanawezeshwa kuibua miradi itayoweza kutekelezeka na yenye manufaa kwao na Halmashauri kwa ujumla

Kuhakikisha Halmashari inakuwa na mipango na bajeti na utekelezaji wake unafanyika kulingana na vipaumbele na upatikanaji wa rasilimali

Kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa kushirikiana na Idara zinazotekeleza mradi husika

Halmashauri inakuwa na takwimu sahihi, zilizochambuliwa, kutunzwa na kutolewa kwa wateja mara zinapotakiwa.

Kuandaa maandiko na kuyauza kwa wadau kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Kuwa na Investment Profile inayoenda na wakati sambamba na Investment menu ya Halmashauri ambapo kila mtu mwenye nia ya kuwekeza atapata taarifa zote na hivyo kupelekea urahisi wa kuwavutia wawekezaji.

    5.0 HITIMISHO

Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji ni kiungo cha Idara zote katika utekelezaji wa shughuli za kawaida na Miradi ya Maendeleo ya halmashauri, hivyo hufanya kazi kwa ukaribu na Idara zote zilizopo Halmashauri sambamba na wadau wote wanaohusika na idara hizo. Kwa nafasi hii, Ofisi inawakaribisha wadau wote ili kutoa mawazo ya kuboresha huduma zinazotolewa kwa faida ya Halmashauri yetu, mkoa na Taifa kwa ujumla.

                  Naomba kuwasilisha,


IDARA YA MIPANGO TAKWIMU NA UFUATIKLIAJI

MANISPAA YA IRINGA

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 - MANISPAA YA IRINGA December 11, 2022
  • TANGAZO MUHIMU.. January 02, 2023
  • TANGAZO MUHIMU... January 09, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MNEC ASAS KUTOA MIL.100 KWA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

    March 14, 2023
  • BILION 1.9 KUKAMILISHA MACHINJIO NGELEWALA-MEYA NGWADA

    February 08, 2023
  • DKT. LINDA AAPISHWA DC MUFINDI

    February 03, 2023
  • RC DENDEGO AWAAGIZA MENEJA WA TANROADS NA TARURA KUONGEZA USMAMIZI NA UFATILIAJI KWA WAKANDARASI

    January 10, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa