• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Huduma ya Elimu

ELIMU SEKONDARI

1.0 UTANGULIZI

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ina jumla ya shule za  sekondari 33, kati ya hizo 15 ni za Serikali na shule 18 ni shule zisizo za Serikali. Katika shule za sekondari za Serikali kuna jumla ya wanafunzi 11645 (wavulana 4855 na wasichana ni 6790) na shule zisizo za serikali   zina jumla ya wanafunzi 2923 (wavulana 1431 na wasichana1492 ) hivyo kufanya jumla ya wanafunzi wote kuwa 14568. Idadi ya walimu katika shule za Serikali ni 657 wakiwemo wanaume 310 na wanawake 347. Shule zisizo za serikali zina jumla ya walimu 256 kati ya hao wanaume ni 198 na wanawake ni 58 hivyo kufanya jumla ya walimu wote kuwa 913

 

2.0 HALI YA TAALUMA

Hali ya taaluma kwa ujumla inajionyesha kupitia ufaulu wa wanafunzi katika mitihani ya upimaji ya kidato cha pili, mitihani ya taifa ya kidato cha nne na kidato cha sita kama inavyoonekana katika majedwali hapa chini.

 
JEDWALI  NA 1; UFAULU WA WANAFUNZI KATIKA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA SITA KWA HALMASHAURI YA  MANISPAA YA IRINGA KUANZIA MWAKA 2017 - 2020


MADARAJA YA UFAULU

WALIOFAULU

MWAKA

IDADI YA SHULE

DIV I

DIV II

DIV III

DIV IV

WALIOFELI

IDADI

%

2017

7

16

224

236

25

05

506

99.01%

2018

9

43

345

294

22

12

704

97.77%

2019

9

88

361

222

12

01

683

99.56%

2020

9

80

363

283

17

07

759

98.53%

JEDWALI NA 2: UFAULU WA WANAFUNZI KATIKA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA NNE KUANZIA MWAKA 2017 - 2020


MADARAJA YA UFAULU

WALIOFAULU

MWAKA

IDADI YA SHULE

DIV I

DIV II

DIV III

DIV IV

WALIOFELI

IDADI

%

2017

27

55

358

545

1239

540

2737

80.28%

2018

28

77

344

585

1206

412

2213

84.30%

2019

28

112

405

538

1250

280

2305

89.17%

2020

30

291

477

492

1243

202

2503

92.53%

 

 

JEDWALI NA 3: UFAULU WA WANAFUNZI KATIKA MTIHANI WA TAIFA WA UPIMAJI WA KIDATO CHA PILI KUANZIA MWAKA 2017 - 2020

MWAKA

 

 

IDADI YA SHULE

DARAJA

 

UFAULU

I

II
III

IV

FAIL

JUMLA

IDADI YA WALIOFAULU

ASILIMIA  YA WALIOFAULU

2017

29

529

479

630

110

103

2851

2748

96.01%

2018

29

650

492

560

1214

139

3055

2916

95.45%

2019

30

504

447

624

1396

91

3257

2971

98.60%

2020

31

724

476

609

1316

87

3212

3125

97.29%


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa