• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Historia

1.0: UTANGULIZI:


1.3: ENEO

  • Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ni moja kati ya Halmashauri tano zilizopo katika Mkoa wa Iringa. Manispaa ya Iringa ina eneo la kilometa za mraba 331.4. Manispaa ya Iringa, ipo kati ya nyuzi za latitudo 7o77’ Kusini mwa mstari wa Ikweta na nyuzi za Longitudo 35o69’Mashariki mwa mstari wa Greenwichi. Manispaa ya Iringa inapakana na Wilaya ya Iringa vijijini kwa upande wa Kaskazini, Magharibi, Kusini na Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo upande wa Mashariki.

1.4: UTAWALA 

Kiutawala, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ina Tarafa 1, Kata 18, Mitaa 192 na Jimbo moja la Uchaguzi wa Mbunge ambalo ni Iringa mjini.

 

1.5: UONGOZI

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa inaundwa na Baraza la Madiwani wa kuchaguliwa 18, Mheshimiwa Mbunge Jimbo la Uchaguzi la Iringa Mjini, Waheshimiwa Wabunge viti      maalum 2 na Madiwani wa viti maalum sita (6) Wakuu wa Idara 13,Wakuu wa Vitengo  6 na Mkurugenzi wa Manispaa ambaye ni Katibu wa Halmashauri.

       Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ina Kamati za kudumu kama ifuatavyo:

  • Kamati ya Fedha na Uongozi.
  • Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu.
  • Kamati ya Mipango na Mazingira.
  • Kamati ya Kudhibiti Ukimwi ya Manispaa
  • Kamati ya Maadili ya Madiwani

1.6: IDADI YA WATU:

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa inajumla ya wakazi wapatao 158,989 (kutokana na maoteo ya Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012). Kati ya wakazi hao75,565ni Wanaume na 83,424 niWanawake. Ina jumla ya Kaya 37,854 ambapo wastani wa ukubwa wa Kaya ni 4.2.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 - MANISPAA YA IRINGA December 11, 2022
  • TANGAZO MUHIMU.. January 02, 2023
  • TANGAZO MUHIMU... January 09, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MNEC ASAS KUTOA MIL.100 KWA MACHINGA MANISPAA YA IRINGA

    March 14, 2023
  • BILION 1.9 KUKAMILISHA MACHINJIO NGELEWALA-MEYA NGWADA

    February 08, 2023
  • DKT. LINDA AAPISHWA DC MUFINDI

    February 03, 2023
  • RC DENDEGO AWAAGIZA MENEJA WA TANROADS NA TARURA KUONGEZA USMAMIZI NA UFATILIAJI KWA WAKANDARASI

    January 10, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa