• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Miradi iliyokamilika

TAARIFA FUPI YA UJENZI WA DARAJA LASOMBELI KATA YA NDULI MANISPAA YA IRINGA


UTANGULIZI 

Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Sombeli Kata ya Nduli uliibuliwa ili kuimkarisha Mawasiliano ya wakazi wa maeneo ya Sombeli, Kigonzile na wa kazi wa Mtaa wa Ludenyela  na maeneo ya jirani ya Ilole ambao mawasiliano hayakuwepo kutokata na korongo lililokuwepo. Mradi huu ukikamilika utapunguza kero ya usafiri kwa Wakazi wa maeneo hayo.

LENGO LA MRADI 

Lengo la mradi huu ni kuendelea kuboresha mawasiliano kwa wananchi wa maeneo ya sombeli Ludenyela na maeneo jirani ya Ilole.

UTEKELEZAJI

Mradi huu unatekelezwa na Mkandarasi Kampuni  ya CHELES GENERAL ENTERPRISES LTD ,Wa SWLP 458 MAFINGA kwa mkataba. Na .LGA/025/2016/2017/HQ/W/05 na Gharama ya Tsh.62,444,671/= Kwa muda wa siku 120 kuanzia tarehe 14/04/2017 hadi tarehe 15/04/2017 kwa kutekeleza shughuli zifuatazo:

  • Kuweka bango la mradi.
  • Kusafirisha mitambo na vifaa hadi eneo la mradi.
  • Kusafirisha eneo la daraja [site clearance]M2 430
  • Kuchimba msingi wa daraja pamoja na kingo zake za kunyoosha mto M3227
  • Kusuka nondo kg. 2050
  • Kuimimina zege gredi 25 M3 18 kenyw deck na beam
  • Kumimina  zege gredi  20 m3 12 kwenye apron
  • Kumimina zege gredi 15 m3 8 la blinding
  • Kumwaga changalawe kwenye maingilio ya daraja

KAZI ZILIZO TEKELEZWA HADI SASA

  • Kuweka bango la mradi.
  • Kusafirisha mitambo na vifaa hadi eneo la mradi.
  • Kusafirisha eneo la daraja [site clearance]M2 430
  • Kuchimba msingi wa daraja pamoja na kingo zake za kunyoosha mto M3227
  • Kusuka nondo kg. 2050
  • Kuimimina zege gredi 25 M3 18 kenyw deck na beam
  • Kumimina  zege gredi  20 m3 12 kwenye apron
  • Kumimina zege gredi 15 m3 8 la blinding

 Hadi sasa Mkandarasi amelipwa kiasi cha Tsh. 44,860,886/= sawa na asilimia 74% ya Gharama za Mradi

     MANUFAA YA   MRADI 

  • Utapunguza kero ya usafiri kwa Wananchi wa maeneo ya Kigonzile, Sombelo,Ludenyela na maeneo jirani ya ilole ambayo wanasafiri  umbali mrefu
  • Uutaboresha mawasiliano ya barabara ka eneo la Sombeli kuelekea

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MANISPAA YA IRINGA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI : MANISPAA YA IRINGA 23.09.2020 September 23, 2020
  • IMC: ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020 PAMOJA NA MAENEO YAO YA KUFANYIA SEMINA. October 24, 2020
  • HERI YA MTIHANI MWEMA KWA KIDATO CHA NNE 2020. November 23, 2020
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MBUNGE WA JIMBO LA IRINGA MJINI AANZA KAZI KWA KISHINDO KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU MANISPAA

    January 09, 2021
  • MH. PINDA AWATAKA WABUNGE NA MADIWANI KUTEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KULINGANA NA ILANI YA CCM

    January 13, 2021
  • VIJUE VIPAUMBELE KONKI VYA MEYA MANISPAA YA IRINGA 2021

    January 13, 2021
  • MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    January 12, 2021
  • Soma zote

Video

DC KASESELA AIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KATIKA JITIHADA ZA UJENZI WA MADARASA SEKONDARI
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Fomu za Maombi mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: mkurugenzi@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa