• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Elimu Sekondari


UTANGULIZI

Idara ya Elimu Sekondari ni moja kati ya idara 13 na vitengo 06 vinavyounda Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

IDADI YA WATUMISHI 

Idara ya Elimu Sekondari ina jumla ya watumishi 732, wakiwemo :- Maafisa ngazi ya Halmashauri 03, Wakuu wa Shule 14, Walimu 667 na Watumishi wasio walimu 31

IDADI YA SHULE ZA SEKONDARI NA WANAFUNZI

 

Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ina jumla ya shule za sekondari 29 zikiwemo za Serikali 14 na zisizo za Serikali 15. Idadi ya wanafunzi wa shule za Serikali ni 9622 wakiwemo wavulana 3925 na wasichana 5697.

MAJUKUMU YA IDARA

 

  • Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na mafunzo ya ufundi, sheria na kanuni zinazoongoza utoaji wa elimu ya sekondari.
  • Kufanya ufuatiliaji wa Mtaala katika tendo zima la ufudishaji na ujifunzaji wa walimu na wanafunzi.
  • Kuandaa mpango wa likizo wa  walimu na watumishi wengine wa ngazi ya elimu ya sekondari katika Halmashauri.
  • Kuratibu na kusimamia mitihani ya Taifa ya kidato cha II, IV na cha VI inayoendeshwa kwa shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kusimamia na kudhibiti akaunti ya elimu ya sekondari na kuhakikisha kuwa fedha za elimu ya sekondari zinatumika kama ilivyokusudiwa. Pia kugagua na kuhakiki hundi zote zinazoletwa kutoka shule za sekondari za serikali na kupitisha kwa ajili ya kufanyiwa malipo.
  • Kufanya tathimini ya matokeo ya  mitihani ya Taifa ya kidato cha II, IV, na VI na maendeleo ya elimu ya sekondari katika Halmashauri.
  • Kufanya ufuatiliaji na kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia pamoja na kupanda miti ya kivuli na maua.
  • Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi wa shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kufuatilia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za sekondari  kutoka Ofisi ya mdhibiti wa ubora wa elimu ya sekondari Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
  • Kuratibu na kusimamia michezo katika shule za sekondari (UMISSETA)
  • Kuratibu, kukusanya na kuchambua takwimu za  shule za sekondari (TSS) na kujaza kwenye mfumo wa takwimu wa kitaifa.
  • Kuratibu ujazaji wa selfom za machaguo ya wanafunzi wa kidato cha nne kwenye mfumo.
  • Kuandaa mpango wa mafunzo kazini kwa walimu na watumishi wengine wa Idara ya Elimu Sekondari.
  • Kusimamia na kufuatilia ujenzi na ukarabati wa madarasa, Maabara , Nyumba za walimu, majengo ya utawala  na matundu ya vyoo.
  • Kuhakikisha kuwa walimu na watumishi wengine wa shule za sekondari wanafanyiwa tathimini ya wazi ya utendaji kazi (Open Performance Review and Appraisal System -OPRAS).
  • Kukusanya, kuchanganua, kutuma na kutoa takwimu sahihi za elimu ya sekondari katika Halmashauri.
  • Kufanya makisio ya mahitaji ya walimu kimadaraja na kimasomo.
  • Kuhakikisha nyaraka, miongozo na maagizo  yanayotolewa ngazi ya juu yanapelekwa shuleni kwa wakati.
  • Kufuatilia mapato na matumizi ya fedha za elimu bila malipo katika shule za sekondari za serikali.
  • Kuandaa taarifa ya utekekelezaji na taarifa ya mapato na matumizi kwa kila robo na kutuma Ofisi ya Katibu Tawala Mkoa na Ofisi ya Rais TAMISEMI.

 

MAFANIKIO KATIKA IDARA

 

  • Idara ya Elimu Sekondari imefanikiwa kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika mitihani ya kitaifa;
  • mfano:- kidato cha pili ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 76.53 mwaka 2014 hadi 96.36 mwaka 2016,kidato cha nne kutoka asilimia 75.32 had 90.13 na kidato cha sita ufaulu umeendelea kuwa asilimia 99.13.
  • Idara imefanikiwa kutengeneza viti 10049 na meza 9985 kwa ajili ya wanafunzi.
  • Idara imefanikiwa kujenga miundombinu mbalimbali ya shule, ikiwemo  maabara zilizokamilika 18, madarasa 246, nyumba za walimu 31, majengo ya utawala 5 na matundu ya vyoo 318.

MPANGO MIKAKATI YA UBORESHAJI ELIMU/TAALUMA

 

 

  • Kuongeza ufaulu wa wanafunzi wa mitihani ya kidato cha nne na kufikia asilimia 95
  • Kuendelea kujenga vyumba vya madarasa 20 katika shule za sekondari zilizopo na kufanya yafikie 266
  •  
  • Kukamilisha ujenzi wa mabweni mawili katika shule ya sekondari Tagamenda na Mawelewele.
  • Kuendelea kujenga miundombinu katika shule mpya ya sekondari Mivinjeni
  • Kukamilisha ujenzi wa maabara 24 katika shule za sekondari.

Matangazo

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA MANISPAA YA IRINGA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • TANGAZO LA KAZI : MANISPAA YA IRINGA 23.09.2020 September 23, 2020
  • IMC: ORODHA YA MAJINA YA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI MKUU 2020 PAMOJA NA MAENEO YAO YA KUFANYIA SEMINA. October 24, 2020
  • HERI YA MTIHANI MWEMA KWA KIDATO CHA NNE 2020. November 23, 2020
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • MBUNGE WA JIMBO LA IRINGA MJINI AANZA KAZI KWA KISHINDO KUCHANGIA SEKTA YA ELIMU MANISPAA

    January 09, 2021
  • MH. PINDA AWATAKA WABUNGE NA MADIWANI KUTEKELEZA MAAGIZO YA SERIKALI KULINGANA NA ILANI YA CCM

    January 13, 2021
  • VIJUE VIPAUMBELE KONKI VYA MEYA MANISPAA YA IRINGA 2021

    January 13, 2021
  • MANISPAA YA IRINGA YAADHIMISHA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KWA KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA

    January 12, 2021
  • Soma zote

Video

DC KASESELA AIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KATIKA JITIHADA ZA UJENZI WA MADARASA SEKONDARI
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Fomu za Maombi mbalimbali
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: mkurugenzi@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa