• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Baraza la Madiwani Iringa MC kupitisha mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Posted on: February 12th, 2021

"Nipende kumpongeza Mkurugenzi na wataalamu wake kwa kazi nzuri ambayo wameifanya katika shughuli za kimaendeleo katika Manispaa yetu ya Iringa"

Hayo yamezungumzwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada tarehe 12.02.2021 katika Mkutano wa Baraza la Madiwani la kupitisha mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri

"Mwaka huu lazima eneo la Tembo Bar lijengwe ili kujiongezea mapato yetu katika Halmashauri kwa kupitia sisi wenyewe au wawekezaji" Mh. Ngwada alisema hayo kama moja ya lengo lake kubwa ambalo anahitaji litime kwa kipindi hiki cha mwaka huu wa  2021

Hata hivyo katika maelezo yake amesema vipaumbele vyake vingine ambavyo anatamani vikamilike ni pamoja kuendeleankutoa mikopo kwa walemavu, ujenzi wa soko la nyama la Kitwiru pamoja na Ujenzi wa jengo la jumba la maendeleo (Community Centre)

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu amepokea changamoto mbalimbali za Madiwani hao na kuahidi kuzitafutia ufumbuzi haraka iwezekanavyo

Naye Mkuu wa Idara ya Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, Ndugu Herbert Bilia ameipongeza na kuishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa namna wanavyojitoa katika masuala ya kimaendeleo nchini hasa katika Halmashauri hii  kwa kupatiwa fedha mbalimbali kwa shughuli za kimaendeleo

Akifunga kikao hicho Mstahiki Meya Mh. Ngwada, amewataka waheshimiwa Madiwani wenzake, watendaji wa Kata pamoja na wataalamu wa Manispaa kuzidi kufanya kazi kwa juhudi katika kuiletea Maendeleo Halmashauri ya Manispaa ya Iringa

Pia amemshauri Mkurugenzi kuendelea kukamilisha miradi yote ya  maendeleo iliyoanzishwa  ndipo kuanza kutekeleza miradi mipya ili kuepusha hasara inayoweza kujitokeza kwa miradi hiyo kuachwa na kuchakaa

Nae Juli Sawami ambaye ni Diwani wa kata Kihesa amempongeza Mkurugenzi kwa hatua aliyofikia katika umaliziaji wa ujenzi wa majengo ya madarasa na amempongeza  Mstahiki Meya kwa jitihada za kutafuta madawati 500  kwa wadau mbalimbali katika kupunguza changamoto ya madawati katika sekta ya elimu ndani ya Manispaa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa