• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

BARAZA LA MADIWANI IRINGA MC LAJADILI MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

Posted on: January 25th, 2024

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Iringa likiongozwa na Mstahiki Meya Mhe. Ibrahim Ngwada limejadili mpango wa Bajeti ya Halmashauri unaogharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 46,010,462,000/= kwa mwaka wa fedha 2024/2025


Akiwasilisha taarifa ya bajeti  ya Halmashauri katika kikao hicho, Mchumi wa Manispaa Ndg, Abel Ndeabura amesema kuwa  fedha hizo zinatokana na Ruzuku kutoka serikali kuu na  mapato ya ndani ya Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo, mishahara ya watumishi na matumizi ya ofisi.


Miongoni mwa vipaumbele ambavyo vimetajwa kwenye bajeti ni pamoja na kuboresha miundombinu ya Sekta ya Elimu hasa Kwa kutengeneza madawati,viti na meza za walimu, Afya, Umeme na Maji, kuweka Mazingira ya Mji safi kwa kuzoa taka ngumu zinazozalishwa katika Masoko, kujenga na kuboresha barabara za Mitaa(TARURA), kuanzisha Miradi na kuboresha miundombinu sekta ya biashara na Masoko kama vile kuanzisha Machinjio ya Kuku, kupitisha azimio la uwekezaji Stendi ya zamani Tembo Bar, pamoja na Utoaji wa mikopo asilimia 10 kwa makundi maalumu ya Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu


Aidha, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Mhe.Ngwada  amemuagiza Mkurugenzi kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa maazimio yote yaliyotolewa kwenye kikao hicho ili baheti hiyo iweze kukidhi mahitaji ya Halmashauri.

.

Aidha Ngwada amesisitiza kuwa katika Sekta ya Elimu bajeti ya Madawati iongezeke ili kumaliza tatizo la upungufu wa madawati Mashuleni.


"Kwenye kikao cha kamati ya Afya, Uchumi na Elimu tulikubaliana bajeti ya Madawati  iongezeke  kutoka sh. milioni 25 hadi  milioni 150 na kuendelea ili kuondoa tatizo la m

Madawati kwenye Shule zetu zote za Msingi na Sekondari zilizopo hapa Mjini Iringa". Amesema Ngwada.


Dr.Godfrey Mbangali ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa amesema amepokea maelekezo yote yaliyotolewa na atayafanyia kazi kwa ajili ya maboresho ya mpango wa bajeti hiyo kwa maendeleo ya Halmashauri na wananchi kwa ujumla.


Kikao hicho cha Baraza Maalum la kujadili mpango wa bajeti kwa mwaka wa Fedha 2024/2025 kimehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Taasisi  chama na Serikali, wakuu wa Idara na vitengo, wananchi na madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa umefanyika Januari 24  2024 katika Ukumbi wa Mikutano wa Manispaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa