• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

BARAZA LA MADIWANI LAIPONGEZA MANISPAA YA IRINGA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: May 6th, 2021

Baraza la Madiwani Manispaa ya Iringa chini ya  Mwenyekiti Mstahiki Meya Mhe. Ibrahim Ngwada leo tarehe 6/5/2021 limefanya ziara ya robo ya tatu (Januari-machi 2021) ya kutembelea na kukagua miradi inayotekelezwa na Manispaa kwa lengo la kuona mafanikio na changamoto zilizopo katika miradi hiyo

Akiongea katika ziara hiyo Mhe. Ngwada amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri Hamid Njovu  pamoja na wataalam  kwa kujenga miradi mingi ya maendeleo kwani itatatua changamoto za wananchi katika Sekta ya Afya,Elimu,Maji na zingine

Aidha Mhe. Ngwada amewapongeza wadau mbalimbali waliojitokeza kutoa misaada ya fedha na vifaa vya ujenzi kuhakikisha miradi hiyo inakamilika na kunufaisha wananchi wa Manispaa

Amesema wadau walioifadhili Halmashauri kufikia malengo hayo ni pamoja na Kampuni ya ASAS DAIRIES na IRUWASA na kuwashukuru kwa msaada mkubwa walioutoa katika Manispaa ya Iringa

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni  pamoja na Ujenzi wa Shule mpya ya  Sekondari ya Kigungawe, Ujenzi wa Jengo la Utawala stendi mpya lgumbilo, Ujenzi wa Bweni na Maabara shule ya Sekondari Mawelewele na ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari Kwakilosa na Mingineyo

Aidha Ngwada amewataka wataalamu kutumia vizuri fedha ili thamani ya miradi iendane na fedha iliyotolewa pia  kuhakikisha miradi hiyo inakuwa na ubora uliokusudiwa pia amesema ipo haja ya kuwepo na ziara ya kukagua na kutembelea miradi ya maendeleo kila robo (kila baada ya miezi mitatu) kwani itasaidia kuhamasisha utendaji wa kazi na kuleta msukumo wa ukamilishaji wa miradi  kwa wakati

Mh. Eliud Mvela ni mjumbe wa Baraza la Madiwani ametoa rai kwa wataalamu kufanya kazi kwa weledi kwani wameaminiwa na Serikali kutumia taaluma zao katika kuiletea Halmashauri Maendeleo, pia ameagiza wasimamizi wa  miradi inayosuasua kuhakikisha inakamilishwa kwa wakati uliopangwa

Kwa upande wake Naibu Meya wa Manispaa Mhe, Kenyata Likotiko amewataka wataalamu kuwashirikisha wanachi kuanzia  mwanzo  wakati ujenzi unaanza ili  waweze kuchangia nguvu zao  kwani kwa kufanya hivyo itaondoa malalamiko. Kwa wananchi kutokushirikiswa katika miradi inayotekelezwa

Hamid Njovu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa amesema ameshukuru Baraza kupokea Miradi hiyo na kuahidi kutoa ushirikiano zaidi katika umaliziaji wa ujenzi wa miradi hiyo kwa manufaa ya wananchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa