• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

BILION 1.9 KUKAMILISHA MACHINJIO NGELEWALA-MEYA NGWADA

Posted on: February 8th, 2023

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada amesema ili kukamilisha ujenzi wa Machinjio ya Ngelewala iliyopo Manispaa ya Iringa inahitajika fedha kiasi cha shilingi bilioni 1.9 hivyo amemuomba waziri Mkuu mstafu Mhe.Mizengo  Peter pinda kusaidia upatikanaji wa fedha hizo na  Machinjio hiyo iweze  kufanya kazi kisasa.

Ngwada ameyasema hayo Februari 8,2023 wakati wa ziara ya Waziri Mkuu mstaafu     Mhe.Mizengo Pinda ya kutembelea na kukagua mradi huo ambao ulianza kutekelezwa mwaka 2008 na kugharimu jumla ya sh..bilioni 2.2 mpaka sasa

Mhe.Ngwada amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za ujenzi wa Machinjio hiyo na kusema kuwa mradi huo ukikamilika utaongeza uchumi wa Halmashauri na wananchi wake.

Kwa upande wake Mizengo pinda amesema amejionea hatua iliyofikiwa katika machinjio ya Ngelewala na kupongeza uongozi wa Manispaa kwa usimamizi mzuri na kuahidi kuwa ataungana na viongozi wa ngazi ya juu kuhakikisha fedha hizo  zinapatikana na kumalizia  ujenzi wa Mradi huo mkubwa wa kimkakati.

Naye kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa  ya Iringa Dr.Stephen Ngwale amesema kukamilika kwa machinjio hiyo kutaongeza ajira kwa vijana zaidi ya 400.,kuongeza mapato ya Halmashauri na kukuza uchumi wa wananchi wa Manispaa.

Ziara hiyo ya siku moja iliwahusisha viongozi mbali mbali wa Chama na Setikali Mkoa wa Iringa akiwepo Mkuu wa Mkoa Mhe.Halima Dendego.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa