• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

BODA BODA 10 NA MIL. 12 KUTOLEWA KWA WAJASIRIAMALI IRINGA MANISPAA

Posted on: September 17th, 2020

"Serikali yetu kupitia Mh. Rais Magufuli inawajali sana makundi ya Vijana, Wanawake na hata kundi la watu wenye mahitaji maalumu, ndio maana imekuwa ikitoa asilimia 10% kutoka mapato ya kila Halmashauri na Manispaa ukiwa ni mkopo utakao wasaidia kujikwamua kimaisha"

Kauli hiyo imezungumzwa na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mh. Ally Hapi katika hafla ya kukabidhi mkopo wa ujasiriamali kwa kundi la Umoja wa Madereva bodaboda pamoja na Umoja wa machinga Manispaa ya Iringa

Aidha tukio hilo limefanyika tarehe 17.09.2020 katika ukumbi wa Wallfare ambapo mkopo wa pikipiki 10 umekabidhiwa kwa Umoja wa Madereva bodaboda huku mkopo wa Milioni 12 ukitolewa kwa kundi la Umoja wa Machinga ambapo kwa ujumla vinagharimu kiasi cha shilingi Milioni 40,7000,000.

"Tunamshukuru Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa kwa kutukumbuka vijana kama sisi na kutupatia mkopo utakao tusaidia kufanya ujasiriamali ili kujikimu kimaisha. Alisema Saidi Mathew, mmoja wa wanufaika na mkopo huo.


Nae Afisa Maendeleo ya Jamii wa Manispaa ya Iringa Bi. Mwantumu Dosi aliwataka wanufaika hao kutumia vyema mkopo huo na kujihakikishia wanajiletea maendeleo yao binafsi na sio kufanya shughuli zisizo na msingi.

Mh. Hapi aliwapongeza na kuwashukuru sana uongozi wa Manispaa ya Iringa kwa kutimiza agizo la utoaji mkopo wa wajasiriamali huku akiwataka kuendelea kuwasaidia wajasiriamali kila panapo hitajika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa