• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

CHANJO YA UVIKO 19 NI SALAMA -DC MOYO

Posted on: October 21st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo ametoa rai kwa wananchi kuepuka taarifa zozote za upotoshaji zinazohusu utolewaji wa huduma za Chanjo hususani chanjo ya UVIKO 19 kwani ni salama

Hayo ameyasema leo Oktoba 21, 2022 katika Mkutano wa hadhara uliofanyika eneo la Stendi ya Kidamali Kata ya Mwangata wenye lengo la kuhamasisha jamii juu ya uchanjaji wa chanjo ya Uviko 19

Hata hivyo Mhe. Moyo ameeleza kuwa kupitia mitandao ya kijamii na ushawishi wa ana kwa ana, kumekuwa na taarifa ambazo inasemekana ukipata chanjo hiyo basi kwa wanawake wanakosa kupata ujauzito lakini kwa wanaume kushindwa kufanya tendo la ndoa ipasavyo, jambo ambalo si kweli na hivyo  kuwataka kupuuzia uzushi wa taarifa kama hizo

Sanjari na hayo amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi kupata chanjo ya Uviko ambayo hutolewa bure bila malipo na ni kinga ya mwili itakayoepusha gharama kubwa endapo mtu akiathirika na ugonjwa huo na huweza kupelekea kifo.

Aidha mhe.Moyo amewashukuru shirika la HFI 360, Mashirika ya kiserikali na binafsi, watendaji pamoja na viongozi wa dini kwa juhudi wanazozifanya katika kuhakikisha zoezi hilo la utolewaji wa chanjo linaenda kwa ufanisi

Kwa Upande wake Diwani wa Kata ya Mwangata MheGalus Lugenge. amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufika katika eneo lake na kufanya hamasa hiyo na kuwaomba wananchi wajitokeze kupata chanjo hiyo ambayo ilikuwa ikitolewa eneo hilo

Kaimu Mganga Mkuu wa Manispaa ya Iringa Dr.Godfrey Mtunzi Iringa amesema walengwa wakupatiwa chanjo ni 123,418, mpaka kufikia sasa Halmashauri imefanuikiwa kuchanja watu 112,669 ikiwa ni sawa na asilimia 91% na kusema kuwa utolewaji wa elimu umesaidia wananchi wengi kujitokeza kupata chanjo hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa