• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC Iringa azungumzia chanzo ajali basi iliyoua watu wanne

Posted on: October 27th, 2021

Na Mwandishi Wetu, Iringa

WATU wanne wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Isamilo kugongana na lori huku chanzo cha ajali kikitajwa kuwa ni uzembe wa dereva wa lori.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Mohamed Moyo, amesema ajali hiyo imetokea jana usiku Oktoba 27, mwaka huu katika kijiji cha Izazi kata ya Izazi tarafa ya Isimani wilayani Iringa barabara kuu ya Iringa -Dodoma .

Alisema basi hilo lenye namba za usajili T 398 BNH YUTONG lililokuwa likitokea Mwanza  liligongana na lori la mizigo lenye namba T760BBY aina ya scani na kusababisha vifo vya watu wa nne na wengine wamejeruhiwa.

Moyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya, alisema chanzo cha ajali ni uzembe wa dereva wa lori kujaribu kuyapita magari yaliyokuwa mbele bila kuchukua tahadhari  na dereva huyo baada ya ajali alikimbia.

Aliongeza kuwa lori hilo la kampuni ya Justas Investment Co limited lilikuwalikitokea Iringa wakati basi hilo lilikuwa likitoka Mwanza kwenda Mbeya lilikuwa likiendeshwa na Emmanuel  John Ng'wiguka (49) mkazi wa Buzuruga Mwanza .

Mkuu huyo wa wilaya aliwataja waliofariki katika ajali hiyo kuwa mi Gerald John ambae ni dereva wa Mwanza, Happy Kwangu ambae ni utigo na mkazi wa Bunda, Edga ambae ni utingo mkazi wa Nyamongo Mara  na abiria mmoja ambae bado hajafahamika jina jinsia ya kiume.

Miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa na majeruhi wanaendelea na matibabu katika Hospitali hiyo .

Majeruhi wa ajali hiyo ni Ngeleja Mlima (36) mkazi wa Geita, Allen Gahanga (21) mkazi wa Mwanza, Sprime Kitanda (35) mkazi Igunga, Fredrick  Mgalula (36) mkazi wa Mafinga, Charles Mashauri (23) mkazi wa Mwanza, Novat Isaya (23) mkazi wa Igunga na Paulo Kayuki (25) mkazi wa Kalenga .

MWISHO

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa