• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC KHERI JAMES: TUEPUKE MAKUNDI YANAYOATHIRI BIASHARA

Posted on: April 5th, 2024

Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Kheri James ametoa wito kwa wafanyabiashara wadogo (Machinga) kuwa na umoja ili kuepuka makundi yanayoathiri malengo ya biashara.

Ameyasema hayo, akiwa kwenye mkutano na wafanyabiashara wadogo (Machinga)  uliofanyika Aprili 5, 2024  katika Soko la Mlandege lilipo mjini Iringa kwa lengo la kusikiliza kero mbalimbali zinazowakumba wafanyabiashara hao.

"Tukiweka Simba,  tukiweka Yanga, tukiweka CCM, tukiweka CHADEMA, tukiweka TLP tutauza vingapi? Matokeo yake vile ambavyo sio kipaumbele na lengo letu vinabeba nafasi kubwa kuliko lengo la biashara ambalo limetutoa nyumbani kuja kazini. Matokeo yake makundi yale yanaathiri mpaka mazingira ya biashara, maamuzi ya biashara na yanaleta mpasuko miongoni mwenu na kushindwa kudai haki zenu". Amesema DC Kheri

Aidha, Mhe. Kheri amewashauri wafanyabiashara kuliko kulumbana wenyewe kwa wenyewe ni vyema kujikita katika kutoa maoni yenye tija kwa serikali  juu ya kuboresha zaidi biashara zao. Vilevile, amewaasa wafanyabiashara hao kukaa katika maeneo waliyopangiwa ili kuepusha migongano kati yao na Askari wa Manispaa.

Wakati huo huo, wafanyabiashara hao wametoa rai kwa serikali kuwasogezea huduma kama vile kituo cha dalala au bajaji, mama lishe pamoja  na soko la vyakula kwa ajili ya kuvuta wateja kuweza kufika maeneo ya soko hilo na kununua bidhaa zao.

Mhe. Kheri ameahidi kushughulikia Kero zilizotolewa na wafanyabiashara hao ndani ya siku saba ili kuweza kutoa suluhisho la changamoto hizo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa