• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC MOYO AZINDUA MIONGOZO YA ELIMU MANISPAA YA IRINGA

Posted on: September 21st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo amewataka walimu wakuu,wakuu wa Shule, Maafisa Elimu Kata,wadhibiti ubora wa Shule na Tsc wa Halmashauri ya Manispaa ya iringa, kuhakikisha wanatekeleza vyema maagizo ya Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania juu ya miongozo ya Elimu ya Msingi na Sekondari.


Mhe. Moyo ameyasema hayo  leo 21/8/2022 katika hafla fupi iliyofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Manispaa  alipokuwa akizindua vitabu vitatu( 3) vyenye lengo la kuimarisha usimamizi wa utolewaji wa Elimu, Mhe Moyo amewataka kwenda kutekeleza miongozo hiyo kwa vitendo ili kuleta tija katika Sekta ya Elimu Msingi na Sekondari.


Akitoa taarifa ya miongozo hiyo mitatu Afisa Elimu Sekondari Bi.Tupe Kayinga amesema miongozo iliyozinduliwa ni Uteuzi wa viongozi wa Elimu, Kuboresha Elimu, Changamoto za Elimu na utatuzi wake.


Awali Mhe. Moyo amewapongeza wakuu hao wa shule, walimu wakuu,waratibu Elimu Kata kwa namna ambavyo wanasimamia vyema  majukumu yao katika Sekta ya Elimu hali inayoifanya Iringa kuzidi kung'ara katika ufaulu wa wanafunzi wa Shule za msingi na Sekondari kwa Mwaka 2021 na amesema anaimani miongozo hiyo itakuwa chachu ya kuleta matokeo mazuri zaidi kwa mwaka 2022.


Kwa Upande wake Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada ametoa ahadi kwa mara nyingine ya kutoa zawadi ya gunia moja la mchele na fedha kiasi cha shilingi laki tano (5) kwa Shule itakayofanya vizuri katika somo la Hisabati ambapo zawadi hizo atapewa Mwalimu Mkuu pamoja na Mwalimu wa somo la Hisabati.


Aidha Ngwada anewataka walimu kuongeza juhudi katika ufundishaji ili kuwa na matokeo mazuri zaidi kwa mwaka 2022 huku akiahidi kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili.


Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndg. Gerald Mwamuhamila amemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Iringa kwa kuhudhuria zoezi hilo  la uzinduzi na kuahidi kushirikiana vyema na walimu hao ili kuhakikisha lengo la uzinduzi huo la kuwasaidia wanafunzi kusoma kwa  bidii ili waweze kutimiza ndoto zao linatimia.


Akihitimisha Mhe. Moyo amekemea tabia ya baadhi ya walimu kushiriki vitendo viovu vya unyanyasaji kwa wanafunzi hali ambayo huweza kupelekea kushindwa kufanya vizuri katika masomo yao.


Uzinduzi huo umehudhuriwa walimubwakuu,Wakuu wa shule,waratibu Elimu, Kata,watendaji wa Kata, wathibiti ubora wa Elimu,wakuu wa Sehemu na vitengo pamoja na baadhi ya waheshimiwa Madiwani.


IMETOLEWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO-MANISPAA YA IRINGA.


@halimadendego

@mohamedmoyo

@ortamisemi

@maelezonews

huhuhuhuhuhu

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa