• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC -MOYO WANANCHI JITOKEZENI KUPATA CHANJO YA UVIKO-19

Posted on: December 2nd, 2021

Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari  dhidi ya ugonjwa wa uviko -19  kwa kuchanja ili kujiepusha  na ugonjwa huo hatari duniani kote.

Kauli hiyo imetolewa leo na Mkuu wa wilaya ya Iringa mhe.Mohamed Moyo wakati  akiongea na wananchi wa Kata ya Gangilonga katika mkutano wa hadhara mara baada ya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika Manispaa ya Iringa.

Moyo amesema watu wengi wanaogopa kuchanja  kujikinga na uviko 19 kwa kuhofia kuwa mazombi kama ambavyo imekuwa ilipotoshwa na baadhi ya watu wasioitakia mema nchi yetu ya Tanzania.

Katika hatua nyingine mhe Moyo amewapongeza wasimamizi wa miradi ya ujenzi wa shule ya sekondari wasichana Iringa,Lugalo ,  Mlamke na Mkwawa kwa juhudi kubwa wanayoifanya kwani wamepiga hatua kubwa hivyo kuleta imani ya kukamilisha   miradi hiyo kwa wakati uliopangwa.

Mhe Moyo amewapongeza wazazi/walezi na walimu kwa kazi nzurri waliyoifanya kuhakikisha wanafunzi wa darasa la saba wamefaulu kwa kwango cha juu kwani Mkoa wa Iringa umekuwa wa pili Kitaifa katika ufaulu wa Wanafunzi wa darasa la saba kwa mwaka 2021.

Ziara hiyo ya Mkuu wa wilaya ya Iringa inayojulikana kama Ulipo nipo imeanza leo Manispaa ya Iringa ambapo ametembelea na kukagua miradi ya maendeleo na kupokea kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.

Omary Mkangama ni kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa amesema amepokea maelekezo yote yaliyotolewa  na atayafanyia kazi haraka kwa manufaa ya wananchi wa Manispaa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa