• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DC MOYO,VIONGOZI WAADHIMISHA MIAKA 60 YA UHURU KWA KUJENGA MADARASA

Posted on: December 9th, 2021

Na Mwandishi Wetu, Iringa

MKUU wa Wilaya ya Iringa, Mohamed Moyo pamoja na viongozi wengine wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wameadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania kwa kushiriki ujenzi wa madarasa katika shule ya Sekondari Kleruu iliyopo kata ya Gangilonga yanayojengwa kwa fedha za UVIKO-19.

Mhe.Moyo alishiriki zoezi la ujenzi wa madarasa akishirikiana na Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa mhe.Kenyata Likotiko ambaye pia ni diwani wa kata ya Gangilonga, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa ndugu Limbe B.M Limbe, wakuu wa idara na vitengo na baadhi ya watumishi wa manispaa.

Mheshimiwa Moyo amesema si rahisi nchi kusherekea uhuru wa miaka 60 lakini kwa Tanzania imewezekana kutokana na upendo, amani na utulivu tulionao.

"Watanzania tumejifunza uvumilivu ambao umepelekea nchi yetu kuwa huru na watu wake kufurahia uhuru huo," alisema Moyo.

Mkuu huyo wa wikaya aliwaomba Watanzania wote   kusherehekea maadhimisho hayo kwa  amani na utulivu

Matangazo

  • MAJIA YA WALIOITWA KWENYE USAHILI, KAZI YA ANWANI ZA MAKAZI {IMC} TAREHE: 02.04.2022 April 01, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • IMC. MIRADI YA UVIKO HADI TAREHE. 3 JAN 2022 PDF January 04, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • RC - IRINGA AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA POLIO KWA WATOTO

    May 18, 2022
  • WANAWAKE PAMBANENI NA CHANGAMOTO KUFIKIA MAENDELEO.-MKUU WA MKOA IRINGA

    March 15, 2022
  • Umoja wa SACCOS Tz Wakutana Mkutano Wa Tatu Mkoani Iringa

    March 15, 2022
  • RC IRINGA ATOA MAAMUZI SAKATA LA MACHINGA KUHAMIA MAKABURI YA MLANDEGE

    February 21, 2022
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa