• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

DENDEGO ATAMANI WAFANYABIASHARA WAFANYE BIASHARA SAA 24

Posted on: December 7th, 2023

Mkuu wa Mkoa Iringa Mhe. Halima Dendego ameongea na wafanyabishara wote katika Mkutano mkuu wa mwaka wa wafanyabiashara wa Iringa tarehe 7 Dec, 2023, katika ukumbi wa Royal Palm uliopo Iringa mjini.

Dendego aliyeambatana na Mkuu wa Wilaya wa Iringa mjini Mhe. Veronica Kessy, aliwataka wafanyabiashara wote kwa umoja wao wawe watulivu kwenye maeneo yao rasmi ya kufanyia biashara ili iwe rahisi kwa serikali kuona jinsi gani wataweza kuwasaidia na kwa pamoja kuikuza sekta hio kwan anatamani wafanyabiashara waweze kufanya biashara zao saa 24.

“Zanzibar wameanza  na wameweza na sisi wafanyabiashara wa Iringa tunataka tuwe wa kwanza Tanzania Bara kufanya biashara masaa 24 haswa upande wa masoko, badala ya kufunga biashara zetu saa 12 jioni.”

Mkuu wa Mkoa aliendelea kuwasihi wafanyabiashara hao waliokua wamefurika kwa wingi, kuwa wahakikishe wanalipa kodi kwa serikali na wawe wepesi kutoa risiti kwa wateja wao, kwani kodi ni uzalendo na ni muhimu kwa serikali katika kuleta maendeleo ya sehemu husika.

Aidha aliwashukuru kwa ushirikiano wao wanaoonyesha kwa kufuata na kutii maelekezo mbalimbali yanayotolewa na serikali, kwani kwa kufanya hivyo inaonyesha ukomavu uliopo na hii inapelekea kuzidi kuboresha Zaidi sekta ya biashara.

Mwisho kabisa Dendego alitoa rai kwa wafanyabiashara hao kuchangisha na kumuunga mkono Rais Dr Samia Hassan Suluhu kwa kuweza kutoa kiasi chochote kile walichonacho kwa ajili ya wenzetu waliokumbwa na maafa ya mafuriko huko Hanangi Mkoani Manyara, ambapo wafanyabiashara hao waliweza kuchanga papo kwa papo na wadau wenginge kutoa ahadi ya fedha, chakula n.k.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa