• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

FIFA YATOA MAFUNZO KWA MQKOCHA NGAZI YA CHINI IRINGA

Posted on: September 28th, 2022

Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amewapongeza shirikisho la FIFA kwa kufika Iringa na kufanya mafunzo ya makocha kwa ngazi ya Chini (grassroot) yaliyofanyika kwa mfululizo wa siku Tano tangu tarehe 25 hadi leo wakihitimisha. Mafunzo hayo yakiwalenga zaidi vijana kuanzia miaka 6 mpaka 12

Mhe. Ngwada ameyasema hayo leo katika kufunga mafunzo hayo akiwatembelea eneo la Uwanja wa Samora ambapo mafunzo hayo yamefanyika akiwa ameambatana na baadhi ya waheshimiwa Madiwani wenzie.

Sanjari na hayo Mhe. Ibrahimu Ngwada ameendelea kuwataka washiriki hao kuzingatia ipasavyo mafunzo hayo na kwenda kuyatendea kazi ipasavyo kwa lengo kwa kuleta mabadiliko katika ulimwengu wa soko nchini hususani Mkoani Iringa na kusema kuwa anaamini hata timu zilizokufa basi nazo zitakwenda kusimama upya na vizuri.

Awali akiwasilisha taarifa ya mafunzo hayo Ndugu Adinani Chorobi, ambaye ni Katibu wa IRFA amesema katika fursa hiyo kumekuwa na changamoto ya muitikio mdogo kwa watu wa Iringa kwani washiriki wenngi wametokea Mikoa mingine, ambapo jumla ya washiriki 37 na kati yao mwanamke ni mmoja

Pia Ndg. Adinani  Chorobi amemuomba Mstahiki Meya endapo fursa kama hiyozitajitokeza  Halamashauri iwasaidie vijana wenye uhitaji ambao  hawana fedha za kumudu gharama hizo za ushiriki wa mafunzo.

Na kwa upande wake Raymond Ngweba Mkufunzi kutoka FIFA ambaye ndiye anasimamia mafunzo hayo amewashukuru washiriki kwa kujitokeza kufanya mafunzo na anaamini watakwenda kuyafanyia kazi ipasavyo na pia amewataka kujitokeza tena awamu ya pili kwa mafunzo yatakayofanyika kwa ngazi ya juu zaidi

Naye Diwani wa Kata ya Mkimbizi mhe.Eliud Mvela ambaye aliwahi kushika nafasi za uongozi  katika Shirikusho la Mpira Tanzania TFF hapo nyuma amewahasa washiriki hao wahakikishe wanazingatia mafunzo waliyopewa na  wakayafanyie kazi ipasavyo kwa maendeleo ya soka la Tanzania, pia wahakikishe wanajiwekea mipango ambayo haitaruhusu wasio na vyeti kufundisha.

Akifunga  mafunzo hayo Mhe. Ngwada ametoa ahadi kama Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kujitolea kushirikiana ipasavyo katika kila jambo ambalo litaletwa katika ofisi yake na  Mkurugenzi ilikuhakikisha tunafanta vizuri katika sekta ya michezo katika Manispaa na Mkoa wa Iringa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa