• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

HAKIKISHENI MRADI UNAKAMILIKA KABLA HAMJAANZISHA MRADI MPYA

Posted on: December 19th, 2023

Naibu wazir wa Tamisemi Mhe. Dr. Festo Dugange amefanya ziara kwenye halmashauri ya manispaa ya Iringa na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile shule na vituo vya afya siku ya Jumatatu tarehe 18 Disemba, 2023 amabapo aliwapongeza wataalamu wa Manispaa Iringa kwa kazi nzuri za miradi wanavyoitekeleza, pia aliwasihi sana waache kuwa na miradi mingi ambayo haiishi kwa wakati kwani inakua haina faida na ni sawa na kupoteza tu hela za wananchi. Hivyo alimshauri Mkurugenzi pamoja na wataalamu wahakikishe wanamaliza mradi mmoja kwanza kisha ndo wahamishie nguvu kwenye mradi mwingine.

“Mkurugenzi hongereni sana kwa kazi nzuri mnazofanya za kusimamia na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwani hii inaonyesha mnamuunga mkono kwa vitendo Rais na hela anazoleta mnazisimamia vizuri saana.”

Aidha alitoa rai kwa wananchi wa Kitwiru waliokua wamekuja kumlaki naibu waziri alipofika kukagua mradi wa shule mpya ya kilongayena unaotelekezwa na ruzuku kutoka serikali kuu aliwaasa kushirikiana kwa pamoja na uongozi wa shule katika ulinzi wa miundombinu hiyo.

Wakati huo huo Diwani wa kata ya Mkimbizi Mhe. Eliud Mvela alimuomba mheshimiwa naibu waziri kusaidia upatikanaji wa umeme, barabara na maji katika eneo la Ugele Manyigi na Ilangila ambapo zahanati inajengwa. Mvela alisisitiziza upatikanaji wa huduma hizo kwani kwa kipindi kirefu wakazi wa eneo hilo ambao wapo ndani ya Manispaa wamekua wakipata adha kubwa.

“Mheshimiwa Naibu waziri tukijenga hii zahanati haitasaidia kama hakutakua na umeme, dawa zitaharibika kwani madawa mengi yanahitaji kuhifadhiwa sehem zenye ubaridi(majokofu) pia Mheshimiwa maji ni muhimu sana katika huduma za afya kwa ajili ya usafi kiujumla, alisema Mvela.”

Kwa upande wao wananchi wa Ugele walimshukuru Mheshiwa Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kusikia kilio chao cha kuwajengea zahanati na kuwapelekea huduma aya umeme na maji, huku barabara ya kilometa 8 kwa kiwango cha changarawe kikiwa mbioni kutekelezwa.

Katika ziara hiyo ya siku moja  Naibu waziri aliambatana na viongozi wa CCM Wilaya, wakiongozwa na Said Rubbeya, katibu Tawala Wilaya, timu ya management wakiongozwa na Mkurugenzi wa manispaa Iringa Ndugu Kastor Msigala.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa