• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

HALMASHAURI YAPONGEZWA KUFANYA VIZURI UKUSANYAJI WA MAPATO

Posted on: June 2nd, 2022

Kamati za kudumu za Halmashauti ya Manispaa ya Iringa zimewasilisha taarifa za utendaji kazi kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 katika Baraza la wazi la Madiwani lililofanyika juni 2 katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa .

Akizungumza katika Mkutano huo wa Baraza   Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amesema  Manispaa imeendelea na ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile ya Barabara, afya na Elimu, kwa lenngo la  kuwaletea wananchi Maendeleo.

Mhe.Ngwada amesema Mradi wa ujenzi wa barabara ya Tumaini kwenda Igumbilo  unaendelea vizuri na utakapokamilika utapunguza adha ya msongamano wa magari na kurahisisha shuguli za usafirishaji.

Pia ameipongeza Idara ya Fedha na biashara   kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato na kushika nafasi ya 1 katika Halmashauri zote Nchini.

Pia ameipongeza Idara ya Elimu SekondariI kwa kung'ara, kushika nafasi ya kwanza (1) kimkoa katika matokeo ya kidato cha nne na kuwataka walimu kutokuridhika na matokeo hayo na badala yake kuongeza bidii ili kuleta matokeo mazuri zaidi.

Nae Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe. Mohamed Moyo amewapongeza Madiwani na wataalam wa Manispaa ya Iringa kwa jitihada wanazozifanya katika kuwaletea wananchi maendeleo na ameitaka kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya kuwashughulikia watumishi wote ambao wanaenenda kinyume na maadili ya kazi mara moja

Gerald Mwamuhamia, Kaimu Mkurugenzi amesema anapokea maelekezo yote yaliyotolewa na Baraza na  kuahidi kuyatendea kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa