• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

IDADI YA VIFO VYA MAMA NA MTOTO YAPUNGUA IRINGA

Posted on: February 6th, 2024

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Frelimo mkoani Iringa Dkt. Hassan Mtani amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha kiasi cha Tsh. Milioni 247,935,760 kwa ajili ya ujenzi wa wodi ya watoto, kukamilisha miundombinu na kuongeza bajeti ya vifaa tiba ili kuweza kupunguza idadi wa vifo vya mama na mtoto.

Hayo yamebainishwa na mganga mfawidhi wa Hospitali ya Frelimo Dkt. Hassan Mtani wakati akitoa taarifa kwa Mjumbe wa  Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Abood Mohamed Abood ambae pia ni mlezi wa CCM Mkoa wa Iringa, alipotembelea hospitalini hapo siku ya madhimisho ya miaka 47 ya kuzaliwa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

“Kwa mwaka 2022 akina mama 700 waliojifungua katika hospitali yetu kati yao kifo kilichotokea kilikuwa ni kimoja tu ambacho kilitokana na kifafa cha mimba, vifo vimepungua ukilinganisha na kipindi cha nyuma”. Amesema Dkt. Hassan

Dkt. Hassan aliongeza kwa kusema lengo la kuanzishwa kwa hospitali hiyo ni kupunguza vifo vya mama na mtoto vilivyokuwa vinatokea wakati wa kujifungua pamoja na kupunguza msongamano katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa kutokana na kusogeza huduma karibu na wananchi.

Akizungumza na watumishi katika hosptali hiyo, Mjumbe wa  Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Abood Mohamed Abood  amewahimiza watumishi wa afya kuzingatia weledi, maadili na viapo vyao katika utoaji wa huduma za afya.

Abood amesema serikali inatambua changamoto ya uhaba wa watumishi  wa afya kama ilivyoelezwa na mganga mfawidhi, hivyo amewataka watumishi waliopo kuwahudumia wananchi kwa weledi wakati serikali ikiendelea kuongeza watumishi katika sekta hiyo na kuboresha  miundombinu yote ya afya kwa kuimarisha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa