• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

IRINGA YAPOKEA SHILINGI BILIONI 7.8 FEDHA ZA IMF

Posted on: October 20th, 2021

Mkuu wa Mkoa wa Iringa,Queen Sendiga ametoa shukrani kwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu  Hassan kwa kupokea mgao wa  shilingi bilioni saba  milioni mia nane ambayo ni fedha kwaajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO 19.

Akizungumza katika Mkutano na waandishi wa habari leo amesema fedha hizo zitatumika katika ujenzi wa vyumba vya madarasa, jengo la watu mahututi,vyumba vya dharura pamoja na nyumba za watumishi.

“Ni vyema wananchi wa Iringa wakafahamu fedha hizi zinakwenda kufanyia nini lakini pia kama tunavyojua mwezi Januari tunatarajia kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule shikizi hivyo ujenzi utaanza muda sio mrefu”amesema Sendiga.

Aidha ametaja Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kama miongoni mwa Halmashauri zitakazonufaika na mgao huo wa fedha kwa kupatiwa bilioni 1.3 kwaajili ya ujenzi wa vyumba 69 vya madarasa huku Mufindi ikinufaika kwa  kwa kupata bilioni 1.1 kwaajiliya vyumba 57 vya madarasa.

Akijibu maswali ya waandishi wa habari juu ya kuanza kwa ujenzi unaotokana na fedha hizo pamoja na utaratibu ,amesema kuwa ujenzi huo unaruhusu kutumia wakandarasi au mafundi ujenzi lakini kwa kutumia kiwango cha fedha ile ile iliyopangwa katika mradi husika na kumalizika kwa muda uliopangwa.

Aidha Sendiga amesema wananchi wataendelea kushirikishwa na kuchangia katika shughuli hizo za ujenzi huku baadhi ya maeneo  wananchi wakiwa  tayari wameshaandaa maeneo kwaajili ya ujenzi wa miradi hiyo.

Sendiga amewataka wakurugenzi katika Halmashauri mbalimbali kusimamia vyema matumizi ya fedha hizo ili ziweze kutumika katika matumizi sahihi kama zilivyoelekezwa na kuhakikisha miradi iliyopangwa inatekelezeka kwa wakati.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa