• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

JAJI THOMAS B MIHAYO AWAPONGEZA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI

Posted on: June 13th, 2023

Mjumbe wa tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji mstaafu Thomas B Mihayo amewapongeza Wasimamizi  na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi wa ngazi ya Jimbo na Kata, kwa kuteuliwa kwao kuwa watendaji wa Uchaguzi Mdogo unatarajiwa kufanyika 13 Julai 2023 Tanzania Bara.

Pongezi hizo amezitoa tarehe 19-06-2023 katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo uliopo Manispaa ya Iringa wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi hao yanayofanyika kwa lengo la maandalizi ya Chaguzi ndogo za Madiwani katika kata 14 za Tanzania Bara.

"Kuchaguliwa kwenu hakukuja tu kwa kupitishwa, ila kumefanywa kwa mujibu  wa Sheria lakini vilevile kwasababu mnastahili kuchaguliwa na mnastahili kuhudhuria mafunzo haya kama mlivyofanya."alisema Jaji.

Tume imepewa jukumu la kuratibu na kusimamia Uchaguzi katika ngazi ya Jimbo na Kata  lakini matakwa ya kisheria yanaelekeza wawepo wasimamizi katika ngazi hizo kwa ajili ya kuendesha Uchaguzi kwa niaba ya Tume.

"Wote mliompo hapa mnafanya jukumu hili kwa niaba ya Tume, tume haiwezi kuwepo kila mahali hivyo imewateua nyinyi ili mfanye kwa niaba ya Tume, mkikosea nyinyi ndio Tume imekosea kwahiyo mjue mmewekwa kwenye sehemu nyeti saana."

Aidha amewaasa  wale wanaosimamia Uchaguzi kwa Mara ya kwanza kuwa  mategemeo yake na ya Tume kuwa watajifunza haraka na watapata uzoefu kupitia majadiliano ya pamoja na kwa wale wazoefu watatumia fursa hio kujiongezea maarifa mapya na kubadilishana uzoefu na washiriki wengine.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa