• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

JAKAYA AWATUNUKU VYETI WAHITIMU, MAHAFALI YA 13 MKWAWA

Posted on: November 29th, 2021


Rais Mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne, ambaye pia ni Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es salaam, Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ameongoza tukio la utunuku wa vyeti kwa wahitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam tawi la Mkwawa kwenye mahafali ya 13 jana mwezi novemba 29 katika viwanja vya chuo kikuu cha Mkwawa

Aidha, Jakaya ameongozana na viongozi mbalimbali wa Serikali katika tukio hilo akiwemo Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Jesca Msambatavangu, Mtahiki Meya wa Manispaa Mhe. Ibrahim Ngwada pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndg. Herbert Bilia

Sambamba na hayo Mhe. Jakaya amewasihi wahitimu hao kwenda kuyatendea kazi ipasavyo yale waliyojifunza kwa muda wote walipokuwa chuoni kwa kuzingatia taaluma zao

Pia Mhe. Jakaya  ametumia fursa hiyo kuwasihi watu wote waliokuwa eneo la tukio kutambua kuwa janga la UVIKO 19 bado lipo na linaendelea kuua hivyo wajiandae kikamilifu kwa wimbi la nne la ugonjwa huo kwa kuchukua tahadhari na kusema chanjo ni muhimu sana kwa ajili ya kinga dhidi ya ugonjwa huo hatari na kutoa funzo kupitia watu maarufu ambao wamekufa kwa ajili ya UVIKO  amesema ugonjwa huu hauchagui.

Kwa upande wake Makamu Mwenyekiti wa chuo Kikuu cha Dar es salaam Tawi la Mkwawa ndg. William Anangisye ameelezea mafanikio ya chuo hicho pamoja na changamoto ambazo zinakwamisha maendeleo ya chuo  ni upungufu wa hosteli, kumbi za hadhara, na nyumba za walimu.

Aidha  mwenyekiti amewasihi  wahitimu wote kuwa na heshima na kufanya kazi kwa maadili kama waliyotoka nayo chuoni hapo kwani utii, bidii na kujituma ni njia ya mafanikio.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa