• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

JAMII IMETAKIWA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUS VYA UKIMWI

Posted on: December 1st, 2021

WANANCHI wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kuwa chachu ya mabadiliko na kutambua kuwa wana jukumu la kujilinda wenyewe ili kupunguza kasi ya maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi(VVU) katika halmashauri hiyo.

Wito huo umetolewa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada,wakati wa maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo Disemba Mosi ya kila mwaka, ambapo kwa mwaka huu  halmashauri hiyo imeadhimisha katika chuo kikuu cha Ruaha Catholic  University(RUCU)kilichopo  Manispaa ya Iringa.

Mhe.Ngwada amesema ni kweli maambukizi yapo kwa kiasi kikubwa katika halmashauri  hivyo jukumu lao ni kujilinda.

"Sisi wenyewe tunapaswa kuwa chachu ya mabadiliko kwani jukumu kubwa ni kujilinda tu,"amesema Mhe.Ngwada.

Pia amesema,hali ya unyanyapaa katika halmashauri imepungua huku akitoa ushauri kwa vijana kutumia kinga ili kuepukana na  ngono zembe ambazo zinaweza kuhatarisha  afya zao.  

Mmoja wa watu walioathirika na VVU Paulo Kiwela,amesema ameishi na virusi hivyo takribani miaka mitano huku akitumia dawa za kufubaza VVU.

Ambapo anaishi vizuri bila tatizo lolote hivyo  alitumia fursa hiyo kuwashauri watu kujitokeza kupima bila kuamini imani za kishirikina ili pindi watakapo bainika kuwa na maambukizi ya  virusi vya ukimwi waanze kutumia ARVS.

Kwa upande wake Afisa Ustawi wa Jamii wa Manispaa ya Iringa Tinieli Mbaga,alitumia fursa hiyo  kuwaeleza wananchi juu ya kuzingatia masuala ya malezi chanya kwa watoto ili kuwatengenezea msingi mzuri huku akisisitiza juu ya kupinga  ukatili wa kijinsia,kimwili na kingono.

Pia amewasihi wahanga wote wanaokutana na  vitendo vya ukatili  kuhakikisha wanapambana kikamilifu ili kuutokomeza kwa kushirikiana kikamilifu na Serikali.

Sanjari na hayo amesema kwa yeyote ambaye  atashuhudia,kuhisi au kufanyiwa  vitendo vya ukatili atoe taarifa katika vyombo husika vya serikali kama ofisi za ustawi wa jamii na dawati la jinsia  ili kupunguza na kuweza kutokomeza ukatili wa kijinsia kwa watoto na akina mama.

Aidha Mganga Mkuu Dr.Jesca Lebba.amegusia suala la chanjo dhidi ya UVIKO_ 19 kuwa  inapatikana na haina madhara yeyote hivyo amewataka wananchi kuendelea kujitokeza kupata chanjo hiyo.

Katika maadhimisho hayo mbali na Msahiki Meya pia yalihudhuriwa na Naibu Meya mhe. Kenyata Likotiko na baadhi ya Madiwani wa Manispaa,wakuu wa Idara na vitengo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa