• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

JIONEE MAAJABU YA MANISPAA YA IRINGA KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MIAKA 5 YA MH. JOHN MAGUFULI

Posted on: August 19th, 2020

"Tunashukuru kwa Ujenzi wa Standi hii kwakuwa mpaka sasa, sisi vijana imetunufaisha kwa kujipatia kipato kwa ubebaji wa mizigo hivyo tunamshukuru Mh.Rais Magufuli kwa ujenzi huu" aliaema Joakhimu Fanueli mmoja wa vijana wanaojishughulisha katika stendi ya Igumbilo.

Bwana. Joakhimu ameyasema hayo katika ziara ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu, pamoja na Waandishi wa habari leo walipotembelea na kukagua katika eneo hilo.

Ikumbukwe kuwa leo ni siku ya pili ya ziara ya Ndg. Njovu inayohusisha kutembelea na kukagua Miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa ikiwa ni mafanikio ya miaka mitano ya Mh.Rais John Magufuli ndani ya Manispaa ya Iringa.

"Paulo Ngalawa ambaye ni Mwenyekiti mtaa wa ipogoro c amesema anafurahishwa na uwepo wa kituo cha watoto wenye mahitaji maalum kilichopo ndani ya eneo lake kwani kimekuwa ni msaada mkubwa kwa watoto hao.

Akiendelea kuzungumza Bwana Paulo amesema, kupitia mradi huo watoto walio wengi wenye matatizo ya akili hapo awali walionekana kuzagaa mitaani na kuonekana hawana umuhimu lakini mara baada ya kujengwa kwa kituo hicho kimesaidia kuwakusanya na kuwafundisha waweze kujitambua.

Aidha Miradi mingine iliyotembelewa siku ya leo ni pamoja na, ujenzi wa daraja la Tagamenda, Ujenzi wa shule mpya ya Sekondari eneo la Igumbilo, mradi wa maji wa ulonge, ujenzi wa vibanda vya biashara mlandege pamoja na Soko la kisasa la Mlandege.

Njovu amehitimisha ziara hiyo kwa kuwashukuru waandishi wa habari kwa kushirikiana nao katika ukaguzi huo wa miradi pia amewaomba kujenga mahusiano mazuri na waendelee kuitangaza Manispaa ya Iringa ndani na nje ya Mkoa kupitia shughuli zote za kimaendeleo zinazofanyika.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa