• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

JULI SAWANI NAIBU MEYA MANISPA YA IRINGA

Posted on: August 25th, 2022

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Iringa leo tarehe 25/8/2022 limempitisha Mhe. Juli Sawani ambaye ni Diwani wa   Kata ya Kihesa kuwa Naibu Meya wa Manispaa kwa mwaka mpya 2022/2023

Zoezi hilo limefanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Manispaa ya Iringa kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani la mwaka kujadili taarifa za utendaji na uwajibikaji wa Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2021/2022 huku likihudhuriwa na wananchi pamoja viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi.

Akizungumza mara baada ya kuchaguliwa na kutangazwa kuwa Naibu Meya Mpya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Julius Sawani  ambaye alishinda kwa kupata kura zote 26 za ndio,amesema yeye ni mtu wa kazi hivyo anaamini atamshauri vyema Mstahiki Meya katika kuhakikisha wanashirikiana kuleta maendeleo

Hata hvyo Mhe. Sawani ameendelea kuwataka watumishi na Madiwani kuonesha nidhamu nzuri kwa kila mmoja

Sambamba na hayo Mhe. Sawani amezitaka kamati mpya zilizoundwa  kwa mwaka 2022/2023 zihakikishe zinasimamia vyema majukumu yake ili kuiletea Maendeleo Manispaa ya Iringa .

Naye Msthiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada amewaomba wataalam na Madiwani pamoja na wajumbe wote wa Baraza kuwa na ushirikiano mzuri wa usimamizi wa miradi ya maendeleo kwa kipindi hiki cha mwaka mpya wa Serikali.

Hata hivyo Mhe. Ngwada amempongeza Mhe. Sawani kwa kuchaguliwa kuongoza katika nafasi ya Naibu Meya na kuwa anaamini watakwenda kushirikiana vyema kwa maslai mapana ya wananchi wa Manispaa ya Iringa.

Kwa upande wake Mhe.Jesca Msambatavangu ameitaka kamati ya Fedha na uongozi kutatua kero mbali mbali zinazoikabili Halmashauri kwa haraka ili kuepusha usumbufu kwa wananchi.

Katika Baraza hilo pia umefanyika uchaguzi wa wenyeviti na wajumbe wa kamati za kudumu za Halmashauri,ambapo Mhe.Eliud Mvela amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Mipangomiji na Mazingira Mhe.Maadhi Epautwa Mwenyekiti wa kamati ya Maadili,Mhe,Hellen Machibya Mwenyekiti kamati ya uchumi Afya na Elimu,na Naibu Meya Julius Sawani kamati ya kudhibiti ukimwi na Mfuko wa jimbo Mwenyekiti Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini Mhe.Jesca Msambatavangu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa