• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI MANISPAA YA IRINGA YAWATAKA WATAALAM KUSIMAMIA MIRADI KWA MAKINI

Posted on: August 20th, 2021

Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa  na Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha na uongozi  Mhe.Ibrahim Ngwada amewataka Wataalam kusimamia Miradi ya Maendeleao  inayoendelea kutekelezwa  kwani kwa kufanya hivyo itapunguza changamoto za utekelezwaji wa miradi hiyo chini ya kiwango

Ngwada ameyasema hayo leo tarehe 20/8/2021 katika ziara ya kamati ya Fedha na Uongozi robo ya nne  2021  ambayo imefanyika kwa lengo la kukagua  miradi mbalimbali na kujionea maendeleo ya utekelezwaji wa miradi hiyo

Hata hivyo  Ngwada ameagiza wataalamu wa Manispaa kusimamia miradi hiyo kwa kuzingatia   taratibu zilizowekwa na kujenga miradi yenye ubora inayotakiwa,kukamilika kwa  wakati pia iendane na thamani ya fedha zilizotolewa

Aidha katika ziara hiyo Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Limbe B.Limbe alipata fursa ya kujitambulisha kwa wajumbe wa kamati hiyo na kuomba ushirikiano katika kuhakikisha wanaleta maendeleo  kwenye  Manispaa

Limbe amewashukuru wajumbe wa bodi za shule , zahanati pamoja na kamati za ujenzi kwa kuonyesha ushirikiano mkubwa kwa kufika maeneo ya miradi hiyo kwani inaonyesha kuwa wao ni sehemu ya miradi hiyo

Katika ziara hiyo miradi iliyokaguliwa ni pamoja na ujenzi Kituo cha Afya Itamba,ujenzi wa bweni Shule ya Sekondari Mawelewele,ujenzi wa bweni shule ya Sekondari ya Nduli,na ujenzi wa madarasa 2 na choo Shule ya Msingi mnazi mmoja .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa