• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

Kamati ya madiwani yakunwa utekelezaji miradi Iringa -Wananchi wammwagia sifa Rais Samia kwa kutoa fedha za miradi*

Posted on: October 27th, 2021

Na Mwandishi Wetu, Iringa

Kamati ya Uchumi, Afya na Elimu ya madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imewapongeza  wataalam na kuwataka kutekeleza miradi yote inayotekelezwa katika Manispaa hiyo kwa ubora na kuikamilisha kwa wakati uliopangwa.

Kamati hiyo ilitoa pongezi na maagizo hayo kwa watalaam  baada ya kufanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika  Manispaa ya Iringa kwa mwaka  wa fedha wa 2021/2022.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe.Eliud Mvela akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa kamati hiyo ameishukuru Serikali ya awamu  ya sita  kwa kutoa fedha za ujenzi huo pamoja na Halmashauri kwa mchango na ushirikiano wao katika kuendeleza ujenzi wa Kituo cha Afya Mkimbizi.

Mhe.Mvela  ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mkimbizi, alisema ujenzi wa kituo hicho utakapokamilika utapunguza kwa kiasi kikubwa changamoto za wananchi kupata huduma za matibabu.

"Tunamshukuru mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan  na viongozi wote kwa kutuona watu wa Mkimbiziā€ alisema Bi. Fatuma Sultan Mkazi wa eneo hilo.

Mbali na kituo cha afya Mkimbizi, madiwani wa kamati hiyo walitembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa choo cha shule ya msingi Ukombozi, ujenzi wa maabara shule ya Sekondari Miyomboni, madarasa ya shule ya Sekondari Mivinjeni.

Miradi mingine waliyokagua ni ujenzi wa machinjio ya kisasa Ngelewala,  vibanda vya biashara Mlandege, choo cha shule ya msingi Igumbilo na ujenzi wa choo cha stendi ya Igumbilo

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndg. Omary Mkangama ameishukuru kamati hiyo kwa ukaguzi wa miradi na ameahidi  kuyafanyia kazi maagizo yote ambayo kamati imeyatoa.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa