• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KAMATI YA SIASA YA CCM (W) IRINGA MJINI YAFANYA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: July 10th, 2023

KAMATI ya Siasa ya Halmashauri kuu  ya CCM Wilaya ya Iringa Mjini ikIongozwa na Mawenyekiti wake ndugu Said Lubeya imefanya ziara ya siku mbili kutembelea na kukagua  Miradi ya maendeleo inayotekelezwa  na Halmashauri ya Manispaa ya Iringa lengo likiwa kuona maendeleo ya miradi hiyo.

Ziara hiyo iliyofanyika Julai 10 na 11 2023  na  kutoa  maelekezo kwa Mkurugenzi na Timu ya Menejimenti kuongeza kasi ya ujenzi  ili kukamilisha kwa wakati uliopangwa na miradi hiyo ili ianze kutumika kwa manufaa ya wananchi

Lubeya amesema kazi ya kamati hiyo ni kuhakikisha Ilani ya Ccm inatekelezwa ili kuwapa nguvu ya kusimama majukwaani kwa ujasiri wakati utakapo fika wa kuomba ridhaa kwa wananchi kwa kipindi kingine.

'Wataalamu tumieni taaluma zenu vizuri hakikisheni fedha zilizotolewa na Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt.Samia Suluhu Hassan zinatumika ipasavyo kwa maslahi mapana ya wananchi..

Nao wenyeviti wa Serikali za  Mitaa wamekiri kushirikishwa vyema katika hatua zote za ujenzi wa miradi hiyo huku wakiomba Halmashauri ijenge Shule ya Sekondari Gangilonga na  Kihesa kwani kuna  idadi kubwa ya wanafunzi wanaomaliza elimu ya Msingi katika Shule za Msingi Ngome,kihesa na Tumaini ambao wote wanaitegemea Shule ya Sekondari Kihesa na kufanya shule hiyo kuwa na msongamano wa wanafunzi hali ambayo inasababisha wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katka mitihani yao ya mwisho.

Baadhi ya wajumbe walipata fursa ya kuuliza maswali katika maeneo ya Miradi ambayo yalijibiwa na timu ya Menejimenti iikiongozwa na Mkurugenzi ndugu Kastori Msigala.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa vyumba 3 vya darasa Shule ya Msingi Lugalo ambapo walipokea tshs. 60,000,000/=,ujenzi wa vyumba 5 vya madarasa na matundu 6 ya vyoo Shule ya msingi Ngome walipokea  tshs. 137,000,000/=,ukamilishaji wa madarasa 3 Shule ya msingi Tumaini nao walipokea tshs.43,750,000/=,ukarabati wa jengo la  OPD na ununuzi wa vifaa tiba zahanati ya Mtalagala walipokea  tshs100,000,000/=

Miradi mingine ni ujenzi wa vyumba 5 vya  madarasa  Shule ya Asekondari Mtwivila walipokea tshs 100,000,000/=.

Kwa Upande wake Mkurugenzi ndugu Msigala amesema amepokea maelekezo yote kutoka kwenye Kamati hiyo na  ameahidi kuyatendea kazi mara moja.

Ziara hiyo iliwahusisha vingozi mbali mbali i wa Chama na Serikali timu ya Menejimenti,ambapo Mwenyekiti wa Kamati hiyo aliwapongeza wajumbe kwa ushiriki wao katika ziara hiyo pamoja na michango waliyotoa iliyolenga kuboresha ujenzi wa Miradi hiyo ambayo inatarajia kukamilika mwishoni mwa mwezi Julai.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa