• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MIRADI-MANISPAA.

Posted on: September 6th, 2024

KAMATI YA SIASA YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI MIRADI-MANISPAA.

Kamati ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Iringa Mjini imeridhishwa na ujenzi wa miradi inayotekelezwa Katika Sekta ya Afya, Elimu na Miundombinu katika  Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na kutoa rai kwa Menejimenti kuongeza kasi ya ujenzi wa miradi hiyo ili miradi yote ikamilike ifikapo Novemba 30 Mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa leo 06 Septemba 2024 na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Iringa Mjini Ndg, Said Rubbeya wakati kamati hiyo ilipotembelea na kukagua miradi mbalimbali ya Maendeleo kwa lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

" Msingi wa maendeleo yetu ni elimu, kama

elimu itapelekwa kimaarifa maarifa, hatutafikia malengo, tumekubaliana kuwa kila darasa wanafunzi wawe 45 na hili Mama Samia  Suluhu Hassan Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ataliweza. Niwapongeze sana Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kwa kazi nzuri mliyofanya,  madarasa yanavutia sana, sisi tumeridhika". Amesema Rubbeya alipokagua shule ya Sekondari Shabaha na Jengo la Kitega uchumi na huduma za jamii Welfare.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Iringa  Komredi Kheri James amesema amepokea maelekezo yaliyotolewa na Chama cha Mapinduzi CCM,kwani ndiyo dira na mwelekeo wa kuongeza ufanisi  wa kazi, hivyo watafanyia kazi kwa haraka ili kukidhi matarajio ya wananchi na kujenga imani kwa Serikali yao.

Ziara hiyo ya Kamati ya Siasa wilaya ya Iringa Mjini ya Chama cha Mapinduzi CCM imefanikiwa kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ikiwemo  ujenzi wa Zahanati ya Mtwivila, ujenzi wa miundombinu ya Hospitali ya Frelimo, ujenzi wa miundombinu shule ya Sekondari ya Kwavava, ujenzi wa jengo la kitega uchumi na huduma za jamii welfare, ujenzi wa barabara ya Old Dodoma kiwango cha lami, kuboresha barabara ya  Kigonzile na ujenzi wa daraja na mingineyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa