• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KAMILISHENI MIRADI WANANCHI WAPATE HUDUMA -RC SENDIGA

Posted on: June 8th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Iringa mhe.Queen Sendiga  ameagiza ifikapo Agosti mwaka huu, ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye  mahitaji maalum katika shule  ya msingi Ipogolo uwe umekamilika.

Mhe.Sendiga ametoa maagizo hayo June 8 alipokuwa katika ziara ya kikazi ya ukaguzi wa miradi mbali mbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Manispaa kwa kutumia fedha kutoka Serikali kuu na mapato ya ndani.

Aidha mhe Sendiga amemtaka Mkurugenzi kuweka mikakati madhubuti ambayo itafanikisha ukamilishaji wa bweni hilo   kwani likikamilika litaondoa adha ya wanafunzi hao inayowakabili hivi sasa.  

'Serikali imetoa fedha ili kujenga bweni kwa lengo la kuwafanya wanafunzi hawa wenye mahitaji maalum waweze kusoma bila changamoto zozote,ipo haja Manispaa kukamilisha miradi hii inayosuasua kwa wakati ili itumike na wananchi kama mhe.Rais Samia SuluhuHassan alivyokusudia alisema Sendiga.

Kwa upande wake Afisa Elimu Msingi ndugu Charles Mwakalila amesema kwa mwaka wa fedha 2021/2022 wametenga bajeti ya sh.milioni 30 ambazo pamoja na mambo mengine pesa hizo  zitatumika katika ukamilishaji wa bweni hilo pamoja na uzio kwa ajili ya usalama shuleni hapo.

Katika ziara hiyo miradi mingine iliyokaguliwa ni Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya IIsakalilo,ujenzi wa kituo cha afya Itamba na Ujenzi wa Machinjio ya kisasa ya Ngelewala

Dr.Stephen Ngwale ni Afisa  Mifugo wa Manispaa anasema shughuli zinazofanyika kwa sasa katika Machinjio ya Kisasa ya Ngelewala ni ujenzi wa kisima,kuweka mfumo wa maji moto na maji baridi,kujenga mabwawa ya maji machafu na mifereji yake .

Pia  Dr Ngwale anabainisha kuwa mradi huo ukikamilika wanatarajia kuchinja ng,ombe mia moja (100),Mbuzi mia mbili(200) kwa siku na kuwa  manufaa ya mradi huo pindi utakapoanza kufanya kazi utatoa ajira zisizo rasmi kwa zaidi ya vijana 200, kuongeza  mapato ya Halmashauri na kuimarisha usafi wa mazingira kwa kudhibiti uchinjaji holela.

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada amesema  ziara ya Mkuu wa Mkoa  imewafumbua macho na kuwa kama kiongozi mkuu wa Halmashauri atahakikisha miradi inakamilika na ikiwa na ubora unaohitajika kulingana na thamani ya fedha zilizopangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa