• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KARIBUNI MUWEKEZE MANiSPAA-MEYA NGWADA

Posted on: May 26th, 2023

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Iringa Mhe.Ibrahim Ngwada amesema Halmashauri ina mpango wa  kuingia ubia katika ujenzi wa jengo la kitega uchumi la Tembo bar  karibu na standi kuu ya mabasi  ya zamani.

Ngwada ametoa  kauli hiyo katika Mkutano  wa Baraza la Madiwani la kujadili na kupitisha tararifa za kipindi cha robo ya tatu (Januari hadi Machi 2022/2023) ambapo amewakaribisha wananchi,Taasisi mbalimbali, na wafanyabiashara wenye nia wajitokeze ili kwa pamopa watekeleze mradi huo.

'Mkurugenzi, natambua kuna taasisi na wafanyabiashara wameanza kuonyesha nia mara baada ya kuona matangqzo yetu,Naagiza kasi ya matangqzo iongezeke ili tupate idadi kubwa ya waombaji na utekelezaji wa mradi huu uanze mara moja.alisema Ngwada.'

Katika hatua nyingine Ngwada amesisitiza suala la usafi wa Mazingira na kusema Manispaa imekuwa ikifanya vizuri kwenye mashindano ya usafi na kushika nafasi ya 1 na ya pili

Hivyo anasisitiza waongeze jitihada  za usimamizi wa usafi katika maeneo yote kwa kuhakikisha wananchi wanafanya usafi na taka zinapelekwa dampo kwa wakati.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mhe.Veronica Kessy ameitaka Halmashauri kuhakikisha inakamilisha zoezi la kuwapanga machinga kwenye maeneo rsmi na kusimamia wale wanaorudi kwenye maeneo yqsiyo rasmi na kuwachukulia hatua.

Kessy amemshukuru Mjumbe wa Halmashauri kuu Taifa CCM  ndugu Salim Abri ( ASAS) kwa ushirikiano wake mkubwa kutoa fedha za kujenga majengo ya kufanyia biashara machinga katika eneo la Mlandege na kusema amefanyq jambo kubwa ambqlo tunapqswa kumpongeza na kumshukuru.

NduguCharles Mwakalila ni kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa amesema ameyapokea maelekezo yote yaliyotolewa na Baraza la Madiwani na kuahidi kuyafanyia  kazi.

Katika Baraza hilo jumla ya qgenda.10 zilijadiliwa ikiwemo kupokea taarifa ya utekelezaji wa miradi  ya maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu kuanzia Januari hadi Machi 2022/2023 na maswali ya papo kwa papo kwa mujibu wa kanuni ya 24 ambapo waheshimiwa Madiwani walipata fursa ya kuuliza maswali na kupata ufafanuzi kutoka kwa Mstahiki Meya na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa.

Imeandaliwa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Manispaa ya Iringa


Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa