• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KASESELA : CHANDARUA NI MUHIMU KUJILINDA NA AFYA ZETU

Posted on: July 9th, 2020

"Angalieni namna ya kuwagawia wafungwa waliopo Iringa Manispaa,na Halmashauri ya wilaya ya Iringa vyandarua ili kuwakinga na ugonjwa wa malaria."


Kauli hiyo imetolewa leo na mkuu wa Wilaya ya Iringa mh. Richard Kasesela katika ukumbi wa chuo kikuu Huria alipokuwa akizindua rasmi  kampeni ya ugawaji wa vyandarua katika jamii.


Mh.Kasesela amewataka waratibu kuwa makini wakati wa utekelezaji wa

zoezi hilo kuanzia usajili wa kaya hadi ugawaji wa vyandarua ili kusiwepo na dosari yeyote itakayojitokeza.


Pia ameshauri zoezi hilo kufanyika mapema kabla ya mwezi wa nane (8)ili kuilinda jamii na ugonjwa wa malaria ambao ni hatari kwa afya hasa kwa kina mama wajawazito na watoto chini ya miaka mitano.



Awali kaimu Mkurugenzi Maniapaa ya Iringa ndugu Omary Mkangama akimkaribisha mgeni rasmi amewataka wanufaika kupewa elimu sahihi ya matumizi ya vyandarua hivyo kwani inaonyesha baadhi ya wananchi wamekuwa wakibadili matumizi na kufanyia shughuli zingine kinyume na matumizi kusudiwa.


Mkangama ameitaka timu itakayoenda kwenye kaya kuhakikisha wanawatendea haki wananchi na kutumia mafunzo waliyopewa kufanya kazi hiyo kwa weledi.


Uzinduzi huo umewashirikisha wataalamu kutoka wilaya  mbili wakiwemo waganga wakuu wa wilaya

 ,Maafisa mipango ,wachumi,viongozi wa dini,

 timu ya uendeshaji wa huduma za afya,pamoja na maafisa maendeleo ya jamii huku mada mbali mbali zikitolewa na wataalamu toka Wizara ya afya ikiwa ni pamoja na Hali halisi ya ugonjwa wa malaria katika Mkoa wa Iringa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa