• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KATIBU MKUU TAMISEMI ATOA TSHS MILION 10 UJENZI WA UZIO SHULE YA WASICHANA IRINGA

Posted on: December 5th, 2020

Katibu mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Mhandisi Joseph Nyamhanga amekabidhi jumla ya Tshs Milioni 10 kwa ajili ya ujenzi wa uzio kwenye shule ya wasichana ya Iringa.

Mhandisi Nyamhanga ametoa kiasi hicho katika ziara ya siku moja aliyoifanya katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kwa ajili ya kutembelea na  kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa.

Akipokea fedha hizo mkuu wa shule ya sekondari ya wasichana Iringa Bi Blandina Daniel ameshukuru kwa msaada huo na kumpongeza Rais wa jamhuri wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kwa kuwathamini wanafunzi na walimu wa shule kwa kutoa zaidi ya shs milioni mia saba ili kuboresha majengo yaliyopo shuleni hapo.

Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Bi.Hapiness Seneda  amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii na kupunguza daraja la sifuri kwani Serikali imejitahidi kwa kiwango kikubwa kutatua changamoto zilizokuwa zinawakabili hapo awali.

Akitoa  taarifa ya maendeleo ya ukarabati wa shule hiyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Bw Hamid Njovu amesema  kuwa anampongeza mkuu wa shule hiyo kwa usimamizi mzuri wa mradi huo na kuwa Halmashauri  imechangia kiasi cha shilingi Millioni kumi na moja (11,000,000) ili kumalizia ujenzi wa uzio wa shule unaoendelea  kujengwa shuleni hapo.

Ziara hiyo ya siku moja ilifanyika kwa kutembelea miradi ya Machinjio ya Manispaa iliyopo kata ya Mwangata eneo la Ngelewala ambapo Katibu Mkuu alipata fursa ya kujionea changamoto zilizopo na kuahidi kuzitafutia ufumbuzi wa haraka.

Katika ziara hiyo Mhandisi Nyamhanga pia alitembelea na kukagua Hospitali ya wilaya ya Frelimo ambapo Mganga Mkuu Manispaa Dr. Jesca Lebba alitaja changamoto zilizopo kuwa ni ukosefu wa majengo ya wodi ya wanaume,wanawake watoto na ukosefu wa wodi ya wagonjwa mahututi pamoja na chumba cha kuhifadhia maiti.

Ziara  hiyo imeshirikisha  viongozi mbalimbali wa Serikali, wataalamu kutoka wilayani, Mkoani na Manispaa ya Iringa akiwepo Katibu tawala wa Mkoa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa