• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KATIBU MKUU TAMISEMI AWASHUKIA WAAJIRIWA WAPYA, AWATAKA KURIPOTI KATIKA VITUO VYAO VYA KAZI KWA WAKATI

Posted on: July 5th, 2021

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa PROF.Riziki Shemdoe amewataka walimu wapya  kuripoti kwenye maeneo yao ya kazi kabla ya tarehe 14 Mwezi  huu wa saba 2021.

Akizunguza na waandishi wa habari katika ziara ya kukagua shughuli za ukarabati wa madarasa pamoja na mabweni katika shule ya wasichana Iringa, iliyo gharimu zaidi ya shilingi milioni mia saba za kitanzania (TZS 700,000,000)

 Prof. Shemdoe amesema kuwa waajiriwa wapya  wasiporipoti kwa wakati katika vituo vyao vya kazi nafasi zao zitachukuliwa.

Aidha  prof. Shemdoe  amempongeza Katibu Tawala Mkoa Bi. Happiness Seneda na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ndugu Hamid Njovu kwa usimamizi mzuri waliofanya katika ukarabati huo na pia amewataka wakurugenzi wote Nchini kuwasaidia watumishi wapya ikiwa ni pamoja na kuwakopesha fedha kwa ajili ya kujikim wakati wakijiandaa kupokea mishahara.

Kadhalika Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bi.Blandina Nkondola ameelezea changamoto zilizopo ni upungufu wa walimu wa Elimu maalum,upungufu wa bweni moja na madarasa mawili pamoja na fedha kwa ajili ya umalizaji wa uzio.

Licha ya Mwalimu Mkuu kuelezea changamoto hizo   katibu mkuu amehaidi kuzitatua  kwa haraka ikiwa ni pamoja na kutoa fedha kiasi cha shilingi milioni kumi (TZS 10,000,000) kiasi ambacho kilichoahidiwa na ofisi yake mapema mwaka huu

Bi.Maria Nicholaus  ni miongoni mwa walimu waajiriwa wapya waliofika katika vituo vyao vya kazi mapema ameeleza namna alivopokelewa vizuri na kuahidi kufanya kazi kwa weledi katika kituo chake kipya  cha kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa