• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KATIBU TAWALA MKOA AWAPA SOMO MENEJIMENTI-MANISPAA IRINGA

Posted on: June 24th, 2022


Katibu Tawala wa Mkoa wa Iringa Ndugu Happiness Seneda ameitaka  Menejimenti ya Manispaa ya Iringa kuweka mikakati madhubuti ili kuhakikisha shughuli  zote za Manispaa zinafanyika kwa ufanisi ikiwa ni pamoja na kutekeleza miradi ya maendeleo kwa kuzingatia ubora na  kukamilisha kwa wakati uliopangwa.

Ndugu Seneda ameyasema hayo leo tarehe 24/6/2022 katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa ikiwa ni kikao kazi cha kujipima,kujisahihisha

na kuweka mikakati  ya kuboresha utendaji kazi ili Manispaa iweze kusonga mbele  na kutoa huduma bora kwa wanachi na  kuleta maendeleo kwa jamii .

Aidha Ndugu Seneda ameipongeza Menejimenti ya Manispaa ya Iringa kwa kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato  kwa mwaka wa fedha

2021/2022 kwa kukusanya shilingi bilioni 4.6 sawa na asilimia 95 ya lengo walilojiwekea kukusanya

Pia ameitaka Menejimenti kubuni vyanzo vipya vya mapato ili Manispaa ikusanye mapato zaidi.

Katika kikao kazi hicho wakuu wa idara na vitengo walipata fursa ya kuelezea mikakati waliyonayo kuboresha utendaji kazi katika kila Idara.

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Ndugu Gerald Mwamuhamila amesema ameyapokea maelekezo yote yaliyotolewa  na Katibu Tawala na kuahidi kuyafanyia kazi mara moja.


Matangazo

  • TANGAZO KWA UMMA May 19, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • TAARIFA KWA UMMA May 15, 2023
  • TANGAZO LA KAZI MANISPAA YA IRINGA 30.05.2022 May 30, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • CHONGOLO ATAFUNA MFUPA MGUMU WA MACHINJIO YA NGELEWALA

    June 01, 2023
  • KARIBUNI MUWEKEZE MANiSPAA-MEYA NGWADA

    May 26, 2023
  • MADIWANI MANISPAA YA IRINGA WATEMBELEA MACHINJIO YA KISASA SONGEA

    May 25, 2023
  • RITA YATOA ELIMU KWA WATUMISHI MANISPAA IRINGA

    May 22, 2023
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa