• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KATIKA KIKAO CHA TATHMINI YA MIKATABA YA LISHE NGAZI YA KATA NA MITAA JAMII YATAKIWA KUHAMASISHA KINAMAMA WAJAWAZITO KUWAHI KLINIKI

Posted on: January 29th, 2021

Rai imetolewa kwa jamii kuhamasisha kinamama wajawazito kuhudhururia Kliniki mapema pindi wanapohisi wana  ujauzito ili kupatiwa nyongeza ya vitamin na madini ambazo humkinga mtoto kuzaliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya.

Akitoa rai hiyo Afisa lishe wa Manispaa ya Iringa Bi.Anzaeli Msigwa ametaja madhara wanayoweza kupata wajawazito kwa kuchelewa kuanza Kliniki ni pamoja na kuzaa watoto wenye matatizo ya mgongo wazi, mdomo Sungura na kuzaa watoto wenye vichwa vikubwa   hivyo hurudisha nyuma uchumi wa familia kwa ajili ya kutafuta matibabu ya magonjwa hayo

Anzael ameitaka jamii kuzingatia lishe bora pamoja na kuzalisha vyakula vyenye virutubishi kwa wingi kama viazi lishe, maboga lishe n.k

Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa Omary Mkangama amewataka watendaji wa Kata na Mitaa pamoja na Maafisa Ugani wote kushirikiana kwa bidii na wahudumu wa afya ya msingi waliopo katika kila mtaa kutekeleza viashiria vya mkataba kwa weledi kwa kupima hali ya lishe ya watoto chini ya miaka mitano, kuwaibua watoto wenye utapiamlo ili waweze kupatiwa tiba, kufanya maadhimisho ya siku ya afya na lishe pamoja na kutembelea kaya zenye wajawazito na watoto chini ya miaka mitano na kutoa elimu ya lishe

Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahimu Ngwada amewataka Madiwani na Watendaji kushirikiana kuhamasisha jamii iweze kulima bustani za mbogamboga na matunda katika maeneo yao hasa mashuleni ili kusaidia jamii kupata lishe bora na kuimarisha afya zao.

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu  Richard Kasesela ambaye alikuwa mgeni rasmi katika kikao hicho  amewapongeza Watendaji wote kwa jitihada wanazofanya kuhakikisha viashiria vya Mkataba vinatekelezwa ipasavyo ili kuondoa matatizo ya lishe katika Manispaa yetu.

Kikao hicho cha  tathmini ya Mikataba ya lishe kimefanyika tarehe 28/1/2021 katika ukumbi wa Chuo kikuu Huria na walengwa walikuwa ni Waheshimiwa Madiwani, Watendaji wa Kata ,Maafisa Maendeleo wa kata, Wajumbe wa kamati ya lishe,  Muwakilishi wa Wahudumu wa afya ngazi ya jamii na Wadau wa lishe ambao ni ASAS, TAHEA, ALAMANO,  LISHE ENDELEVU,  PAPA YOHANE, CALLAFRICA, USAID-NAFAKA NA USAID-MBOGA NA MATUNDA

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa