• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KILOMITA 104 ZA BARABARA KUJENGWA IRINGA MJINI – MBUGA YA TAIFA YA RUAHA-MEYA NGWADA

Posted on: May 27th, 2022


“Tumekaa na kuzungumza na kuweka makubaliano na TANROAD kuhusu ujenzi wa wa barabara ya kutoka Iringa Mjini kuelekea Mbuga yetu ya Taifa ya Ruaha yenye kilomita 104 abayo hivi karibuni itaanza kujengwa”

Hayo yamesemwa leo Mei 26, 2022 na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Mhe. Ibrahim Ngwada katika kikao cha Baraza la Madiwani la kupokea taarifa za kata kwa robo ya nne 2020/2021, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Manispaa

Sambamba na hilo Mhe. Ibrahim Ngwada amesema, wameingia makubaliano na TANROAD kuanza kujenga ‘TERMINAL BUILDING’ katika ujenzi wa awamu ya pili ya uwanja wa ndege wa Nduli na kusema kuwa tayari fedha za ujenzi huo zimeshafika

“Mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara hii pamoja na uwanja wetu wa ndege wa Nduli, vitakwenda kusisimua shughuli mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo shughuli za utalii na kilimo, katika Mkoa huu hususani hapa Manispaa ya Iringa kwani ndio Mjini” Mhe. Ngwada alisema .

Aidha katika kikao hicho, Baraza la Madiwani limempongeza Ndg.Mohamed Mtopa  Mkuu wa Idara ya usafi na Mazingira kwa jitihada anazozionesha katika kuhakikisha Manispaa inaonekana safi muda wote.

Mhe. Eliud Mvela alichangia kwa kusema hayo katika kipindi cha maswali na majibu alipokaribishwa wakati wa uwasilishwaji wa taarifa hizo za utekelezaji za shughuli zinazofanyika kila kata.

Akihitimisha kikao hicho Mhe. Ngwada amemtaka Mkurugenzi kuhakikisha anazichukulia hatua changamoto mbalimbali zilizowasilishwa na Madiwani katika kila taarifa walizoziwasilisha huku akiwataka pia watendaji wa Kata kuhakikisha wanafanya mikutano ya hadhara kwenye maeneo yao na kujadili masuala mbalimbali ya kimaendeleo yanayotekelezwa kuanzia ngazi ya mitaa, kata, Halmashauri hadi kitaifa hali itakayowafanya wananchi kutambua na kushiriki vyema katika ujenzi wa Tanzania ya kisasa na yenye maendeleo madhubuti.

Gerald Mwamuhamila ni Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Iringa amewashukuru wajumbe wa Baraza la Madiwani kwa ushirikiano uliopo baina yao na wataalam wa Manispaa katika kutekeleza majukumu ya kila siku na kuahidi atazifanyia kazi changamoto zote zilizobainishwa na Madiwani katika maeneo yao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa