• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

KITUO CHA AFYA MKIMBIZI KINACHOJENGWA KWA FEDHA ZA TOZO KUHUDUMIA WANANCHI 15,000

Posted on: February 4th, 2022

KITUO cha Afya cha Mkimbizi kilichopo kata ya Mkimbizi katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kinachojengwa kwa gharama ya Shilingi milioni 250 ambazo ni fedha za tozo ya miamala ya simu kinatarajia kutoa huduma kwa wananchi zaidi ya 15,000.

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Iringa, Dk.Jesca Lebba alisema hayo baada ya timu ya menejimenti ya manispaa hiyo ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Iringa, Gerald Mwamuhamila ilipotembea kukagua ujenzi wa mradi huo Februari 3, 2022 ambapo ilifurahishwa na maendeleo ya ujenzi wa mradi huo.

Dk.Lebba alisema ujenzi wa kituo hicho utakapokamilika mara baada ya kukamilika utahudumia wananchi zaidi ya elfu 15 wa kata ya Mkimbizi na kata jirani za Mtwivila na Kihesa.

Alisema hadi sasa majengo matatu ambayo ni jengo la wagonjwa wa nje, vyoo vya mashimo 10 pamoja na maabara vimekamilika ambapo hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu mradi wote unatarajia kukamilika.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Kata ya Mkimbizi,  Adam Kondo, aliishukuru Serikali pamoja na Menejimenti ya Manispaa kwa kuleta mradi huo ambao unakwenda kupunguza adha ya huduma za Afya katika eneo lake.

Naye Yoel Mashimba mkazi wa Mkimbizi alishukuru kwa ujenzi wa mradi huo kwenye kata yao ambapo utakapo kamilika utawasaidia wananchi kuacha kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya.

Aidha, miradi mingine iliyotembelewa na menejimenti ya Manispaa ya Iringa  ni pamoja na Shule ya Msingi JJ Mungai, Hospitali ya Flerimo, Shule ya Msingi Ulonge, Stendi ya mabasi Igumbilo, pamoja na Shule ya Msingi Nyumbatatu.

Matangazo

  • MAJIA YA WALIOITWA KWENYE USAHILI, KAZI YA ANWANI ZA MAKAZI {IMC} TAREHE: 02.04.2022 April 01, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA STENDI YA IGUMBILO March 10, 2022
  • IMC. MIRADI YA UVIKO HADI TAREHE. 3 JAN 2022 PDF January 04, 2022
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • RC - IRINGA AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA POLIO KWA WATOTO

    May 18, 2022
  • WANAWAKE PAMBANENI NA CHANGAMOTO KUFIKIA MAENDELEO.-MKUU WA MKOA IRINGA

    March 15, 2022
  • Umoja wa SACCOS Tz Wakutana Mkutano Wa Tatu Mkoani Iringa

    March 15, 2022
  • RC IRINGA ATOA MAAMUZI SAKATA LA MACHINGA KUHAMIA MAKABURI YA MLANDEGE

    February 21, 2022
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa