• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA
HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA YA IRINGA

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Mipango Miji
      • Elimu Sekondari
      • Elimu Msingi
      • Afya
      • Maji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Environment and Cleaning
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Kazi
    • Vitengo
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Ufugaji
    • Kilimo
  • Huduma zetu
    • Huduma ya elimu
    • Huduma ya Afya
    • Huduma ya Maji
    • Huduma ya kilimo
    • Huduma ya Uvuvi
    • Huduma ya Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Fomu ya Maombi
    • Fomu ya huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati wa Halmashauri
    • Ripoti
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya picha
    • Video za shughuli za ofisi au Kitaifa
    • Hotuba

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE MANISPAA YA IRINGA YAFANA. WANAWAKE WAJITOKEZA KWA WINGI

Posted on: March 8th, 2021

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE MANISPAA YA IRINGA YAFANA.


WANAWAKE WAJITOKEZA KWA WINGI


Wanawake wa Manispaa ya Iringa wameungana na wanawake wote Duniani kuadhimisha kilele cha siku ya wanawake  ambayo hufanyika  tarehe 8/3 kila mwaka.


Katika Maadhimisho hayo yaliyopambwa na maandamano yaliyoanzia ofisi za Manispaa ya Iringa kuelekea viwanja vya Mwenbetogwa ambako ndio maadhimisho yalihitimishwa      nderemo,vifijo,shangwe na vigelegele vilisikika  toka kwa wanawake walioshiriki huku wakiimba nyimbo  kwa furaha.


Mgeni rasmi Mbunge wa Jimbo la Iringa mjini Mhe.Jesca Msambatavangu amesema kina mama wanaaminika katika jamii kwa kufanya mambo kwa weledi kama kauli mbiu inavyosema wanawake katika Uongozi,Chachu kufikia Dunia yenye usawa.


Mhe.Msambatavangu amewataka wanawake kugombea nafasi za uongozi na kuonyesha uwezo pale wanapopata nafasi kwa kuwa wao ni viwanda hivyo wanatakiwa kutoa bidhaa bora.


Kabla ya kilele cha maadhimisho hayo Wanawake walipata fursa ya kujengewa uwezo katika masuala mbali mbali kama Ujasiriamali,Mirathi, Sheria ya Ndoa pamoja na wanawake na uongozi.


Mstahiki Meya wa Manispaa mhe.Ibrahim Ngwada amesema  anawapongeza wanawake kwa siku hii muhimu kwao  na anathamini na kuwaunga mkono wanawake katika jitihada mbali mbali wanazozifanya katika kujikomboa kiuchumi.


Mhe Ngwada amechangia fedha kiasi cha shilingi laki tano kwa ajili ya kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.


Sherehe hizo zilihitimishwa kwa mgeni rasmi kupokea zawadi kutoka kwa wakina mama wa vikundi mbali mbali,Taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali ambao wamejitoa kusaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.


Zawadi hizo ni pamoja na Sabuni,Madaftari,Mchele unga, Sukari, mafuta ya kupikia na  fedha kama ishara ya upendo kwa watoto hao.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUONGEZWA MUDA WA KUCHUKUA FOMU YA UJENZI WA JENGO LA BIASHARA TEMBO BAR February 15, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA, 2023/2024 July 13, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI July 17, 2024
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI July 23, 2024
  • Soma zote

Habari za Hivi punde

  • PPP CENTRE YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU IRINGA MC

    April 04, 2025
  • ALUTE: "HAKIKISHENI MIRADI INAKAMILIKA KWA WAKATI NA KWA UBORA"

    December 21, 2024
  • UCHAGUZI HURU NA WA HAKI UNAHITAJI USHIRIKISHAJI - RC SERUKAMBA

    October 10, 2024
  • MSIGALA AWAONYA MAAFISA MAENDELEO KUJIHUSISHA NA MIKOPO HEWA

    October 05, 2024
  • Soma zote

Video

MEYA WA MANISPAA KUZIPIGANIA TIMU ZA MKOA KUPANDA DARAJA
More Videos

Viunganisho vya Haraka

  • National Examination Council of Tanzania
  • Watumishi Portal
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA,2023/2024
  • Sheria ndogo za Manispaa
  • Vivutio vya Utalii na Taarifda zake
  • Taarifa kwa vyombo vya Habari

Tovuti Zinazofanana

  • Goverment Website
  • TAMISEMI
  • Iringa Region Website
  • IMtv Fahari ya Iringa

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://bachelorthesiswritingservice.com

Location Map

Wasiliana nasi

    Iringa Municipal Council

    Sanduku la Posta: 162

    Telephone: +255-2702647

    Mobile: 255-2702647

    Email: md@iringamc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya usiri
    • Ukanusho
    • MMM
    • Ramani ya eneo
    • Huduma zetu

hakimiliki@2017Iringa Manispaa haki zote zimehifadhiwa